Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,191
Kiukweli inavyosifiwa Arusha haifanani na misifa inayopewa.
1.Mitaa mingi ina nyumba mbavu za mbwa na iko 1km tu toka katikati ya jiji(Ngarenaro ovyo,Kambi ya fisi ovyo,Matejoo ovyo,Unga ltd ndo usiseme kila kitu ovyo.
2.Mibangi,Mirungi nje nje
Jiji gani hili wamelazimisha tu kua jiji.
1.Mitaa mingi ina nyumba mbavu za mbwa na iko 1km tu toka katikati ya jiji(Ngarenaro ovyo,Kambi ya fisi ovyo,Matejoo ovyo,Unga ltd ndo usiseme kila kitu ovyo.
2.Mibangi,Mirungi nje nje
Jiji gani hili wamelazimisha tu kua jiji.