Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Thanx. Sio kichaa tu, wanaweza kuwa na ugomvi wao mtu akaamua kumfanyizia mwenzake ikawa shida sana.Ni bora ukaenda kuripoti police..... hata leo nenda. JF members naomba tuwe makini kuchangia post za namna hii kwani kichaa yeyote anaweza kutoa numba za gari lolote na kudai chochote. Pengine ana kisasi na mmiliki wa gari au jambo jingine lolote. Mkuu nenda police natumaini utapata msaada.