Jihadhari unaponunua vitu sabasaba

illegal migrant

JF-Expert Member
Oct 18, 2013
1,277
1,119
unaponunua vitu sabasaba hakikisha unapewa risiti, pale mlangoni kuna vijana wa jkt wanakagua kila anayetoka na mizigo na kukudai risiti kama huna wanakunyang'anya vitu au wanakuzuia kutoka jana yamenikuta nikiwa na mama mzazi ....mbaya zaidi ni kwamba nilikuwa nimenunua vitu kwa wajasiriamali wadogo ambao wanasema hawana risiti ikabidi nirudi kuwarudishia waloniuzia......ambao pia walikataa mpaka nikaenda kuwachukua wale vijana wa jkt.......siku yangu yote iliharibika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom