Mimi alinipigia simu akinitaka nimsaidie kununua majembe ya trekta zake eti ana kampuni la kilimo kwanza pale mtwara halafu nimtumie,nilipomwomba pesa akadai nitumie zangu atanirudishia
hahaha hiyo ndo gia kajanayo kwanguHata mimi alinipigia eti nikamnunulie waterguard wizara ya kilimo eti nijidai mimi ni mjasiriamali hvyo nitapata kwe bei ndogo.nilimwambia sina huo mda
Duuuuuuuuh, kwahiyo nyinyi wote hamkuibiwa !!!!!!!!!! ina maana ni mimi peke yangu ndio walifanikiwa kuniibia tsh 700 milioni, lakini poa nimewasamehe kwa vile vihela vyenyewe vilikuwa ni kwaajili ya kumnunulia mwanangu midoli.