Jihadhari na matapeli hawa

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
7e3b4b84fedc4b703aed9df4920748b2.jpg
 
Jeshi la polisi lina namba za simu na majina ya wamiliki wa simu hizo wanaotapeli wananchi kisha wanaleta taarifa za watu kuwa waangalifu badala ya kuleta taarifa kwamba matapeli hao wameshakamatwa na kupelekwa mahakamani!!! Tangazo halina professionalism ndani yake.
Labda lipo kwenye mchakato wa kuwakamata
 
Jeshi la polisi lina namba za simu na majina ya wamiliki wa simu hizo wanaotapeli wananchi kisha wanaleta taarifa za watu kuwa waangalifu badala ya kuleta taarifa kwamba matapeli hao wameshakamatwa na kupelekwa mahakamani!!! Tangazo halina professionalism ndani yake.
Wako buzy na wapinzani Wa fisiem, na kuzuia mikutano kwa kisingizio cha intelijensia ya kutokea fujo. Hilo ndo jeshi letu. Linakili udhaifu mbele ya adui wakati wanavitengo vyote.
 
Jeshi la polisi lina namba za simu na majina ya wamiliki wa simu hizo wanaotapeli wananchi kisha wanaleta taarifa za watu kuwa waangalifu badala ya kuleta taarifa kwamba matapeli hao wameshakamatwa na kupelekwa mahakamani!!! Tangazo halina professionalism ndani yake.
Mkuu kuwakamata watu hao inahitaji umafia wa hatari sana,Jeshi la polisi kama wao hawawezi kwa sababu hawana gears(vifaa wezeshi) vya kuwa-track hao matapeli,na hao matapeli ni wajanja sana,so polisi ilichokifanya ni kuwatahadhaarisha watu kwamba number hizo zinafanya utapeli,wakati makachero wanawafatilia hao wezi na hao wezi wanaendelea kupiga watu kwa namba hizo hizo.
 
Jeshi la polisi lina namba za simu na majina ya wamiliki wa simu hizo wanaotapeli wananchi kisha wanaleta taarifa za watu kuwa waangalifu badala ya kuleta taarifa kwamba matapeli hao wameshakamatwa na kupelekwa mahakamani!!! Tangazo halina professionalism ndani yake.
Wangewatafuta kimyakimya baada ya kuwakamata ndio watupe taarifa. Naona hii taarifa ni kama kuwashtua hao matapeli. Wanaweza badili hizo namba za simu.
 
Mkuu kuwakamata watu hao inahitaji umafia wa hatari sana,Jeshi la polisi kama wao hawawezi kwa sababu hawana gears(vifaa wezeshi) vya kuwa-track hao matapeli,na hao matapeli ni wajanja sana,so polisi ilichokifanya ni kuwatahadhaarisha watu kwamba number hizo zinafanya utapeli,wakati makachero wanawafatilia hao wezi na hao wezi wanaendelea kupiga watu kwa namba hizo hizo.
Mhhhh haya bana
 
Jeshi la polisi lina namba za simu na majina ya wamiliki wa simu hizo wanaotapeli wananchi kisha wanaleta taarifa za watu kuwa waangalifu badala ya kuleta taarifa kwamba matapeli hao wameshakamatwa na kupelekwa mahakamani!!! Tangazo halina professionalism ndani yake.
Aisee kweli umefunguka.
Hapa ndio napata picha kwamba hata ukienda huko Polisi hakuna Msaada wowote.

Hahaha,inachekesha kweli eti Polisi badala ya Ku deal na TCRA ili wakamate hao watu wawaonyeshe kwamba hawa ndio wahalifu eti wao wanaonyesha number zao.Sasa ndio nini
Kweli Taaluma inahitajika tena ya ziada na ya kulazimisha.Aibu kweli hii.

Sasa sipati picha raia kama akienda kwao atapata msaada gani.Ndio maana kila anaetapeliwa anaamua kuuchuna,

Na pia Polisi Mjichunguze wenyewe kwa wenyewe.Maana kama mnashindwa kuwakamata watu hawa Through TCRA hivi mna msaada gani kwa Raia wa kawaida juu ya utapeli wa Mitandaoni?

Ujumbe TCRA:
Nawaombeni Saana na hii inaonyesha kabisa kwamba Polisi bado hawajajua nini mnafanya na majukum yenu ni yapil,itakuwa wao wana sheria ya Saiba Kraim tu ila haijui namna ya kuitekeleza.
Sasa Endeleeni kutoa mafunzo kwa Jeshi la Polisi kuliko kutia aibu ya namna hii.
Aibu Tena Aibu Tena Aibu kweli
 
Back
Top Bottom