Jifunze TENSES hapa

Iko poa sana.
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .

View attachment 1031445g

Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .

Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :

The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )

Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.

1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )

I.
Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense

2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )

I.
Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense

3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )

I.
Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense


Leo tuanze na "simple present tense "

Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .

Zifahamu Nafsi

Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye

WINGI

Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )

Examples :

I sing songs = > huwa naimba nyimbo

You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo

He sings songs = > huwa anaimba nyimbo

She sings songs = > huwa anaimba nyimbo

It sings songs = > huwa anaimba nyimbo

We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo

You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo

They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo

#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .

Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .

SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .

Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .

Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )

Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )

KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .

MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .

1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :

SUBJECT + MAIN VERB

I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )

You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )

He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

2. Kwa sentensi za kukanusha

SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB

Ufafanuzi :

DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .

DON'T - inatumika kwa nafsi

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Pia :

Does not = Doesn't
Do not = Don't

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Examples :

-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )

-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )

-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )

They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)

3. Sentensi za kuuliza maswali

DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB

Examples :

Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )

Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )

Jinsi ya kujibu

-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .

Mifano zaidi

She loves her mother
( anampenda mama yake )

He eats banana
( Hula ndizi )

I drive a car
( ninaendesha gari )

You like this movie
( unaipenda muvi hii )

They hate us
( wanatuchikia )

Source : www.englishkona.com

Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .

WhatsApp : 0767329643

NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .

Updates :

II. Present contunuous tense ==> Post namba 235

III. Present perfect tense ==> Post namba 236.


SUBSCRIBE YouTube @ English Kona
 
Nataku Kumwelezea Mtu Kwa AKiingereza Kuwa Nilikwenda Kuwapokea Wototo Kwenye Basi La Dar Expres Lakini Hao Wototo Hawakuwepo Kwenye Hilo Basi
I Went to Receive Children On The Dar Expres But But Children Were Not There
 
Cha ajabu cfaham umeandika nn lakin naongea English vzr sana! English ya kusomo mara zote nafeli
 
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .

View attachment 1031445g

Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .

Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :

The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )

Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.

1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )

I.
Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense

2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )

I.
Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense

3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )

I.
Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense


Leo tuanze na "simple present tense "

Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .

Zifahamu Nafsi

Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye

WINGI

Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )

Examples :

I sing songs = > huwa naimba nyimbo

You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo

He sings songs = > huwa anaimba nyimbo

She sings songs = > huwa anaimba nyimbo

It sings songs = > huwa anaimba nyimbo

We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo

You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo

They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo

#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .

Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .

SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .

Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .

Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )

Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )

KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .

MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .

1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :

SUBJECT + MAIN VERB

I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )

You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )

He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

2. Kwa sentensi za kukanusha

SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB

Ufafanuzi :

DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .

DON'T - inatumika kwa nafsi

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Pia :

Does not = Doesn't
Do not = Don't

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Examples :

-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )

-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )

-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )

They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)

3. Sentensi za kuuliza maswali

DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB

Examples :

Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )

Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )

Jinsi ya kujibu

-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .

Mifano zaidi

She loves her mother
( anampenda mama yake )

He eats banana
( Hula ndizi )

I drive a car
( ninaendesha gari )

You like this movie
( unaipenda muvi hii )

They hate us
( wanatuchikia )

Source : www.englishkona.com

Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .

WhatsApp : 0767329643

NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .

Updates :

II. Present contunuous tense ==> Post namba 235

III. Present perfect tense ==> Post namba 236.


SUBSCRIBE YouTube @ English Kona
Elimu nje ya ADA shkran sanaa🙏🙏🏿
 
Nataku Kumwelezea Mtu Kwa AKiingereza Kuwa Nilikwenda Kuwapokea Wototo Kwenye Basi La Dar Expres Lakini Hao Wototo Hawakuwepo Kwenye Hilo Basi
So I went to pickup the kids from dar express bus but the kids weren't in the bus.
 
Mkuu mr teacher hebu tufundishe na jinsi ya kuunda sentensi kwa wepesi wakati wa kuzungumza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sio mwalimu lakini nakwambia ninachokijua.

Njia pekee ya kuweza kuunda sentence kwa wepesi ni kuizoea hiyo lugha kwa kuitamka sana, mostly kuongea kwa hiyo lugha kichwani mwako muda wote.
Pia ujifunze misamiati mingi kadri unavyoweza.
Baada ya miezi kadhaa utakuwa unashuka tu bila wasiwasi bila kufikiria kama kiswahili tu.
 
Mimi sio mwalimu lakini nakwambia ninachokijua.

Njia pekee ya kuweza kuunda sentence kwa wepesi ni kuizoea hiyo lugha kwa kuitamka sana, mostly kuongea kwa hiyo lugha kichwani mwako muda wote.
Pia ujifunze misamiati mingi kadri unavyoweza.
Baada ya miezi kadhaa utakuwa unashuka tu bila wasiwasi bila kufikiria kama kiswahili tu.

Exactly umesema Mkuu hizo formula sijui format zipo labda kwa darasani ukiwa unajibu mitihan ila sio njia sahihi kwa anaejifunza..muhimu ni mazoez na kuongea... inafika wakati unaunda sentensi na hauwazi sheria yoyote ya tensi na mambo yanaenda sawa inakuwa grammatically correct.

Kikubwa ni kufanya mazoez, kusikiliza podcast& audiobooks kuangalia taarifa za habari CNN, BBC etc pia movies sana sana drama za maisha ya kawaida sio hizi sci-fi(zina lugha ngumu kidg) kukiwa na mazoezi meng lugha ni rahis
 
Test your understanding of tenses!

Look at the sentences below. Are the statements True (T), False (F) or Not sure (NS)?

1.We used to go to Kigoma for our holiday.

a.We went to Kigoma once._______

b.We went to Kigoma more than once.________

c.We go to Kigoma now._______


2.If my parents lived nearby, we could see them more often.

a.My parents live nearby.________

b.My parents used to live nearby.______

c.My parents don’t live nearby now._______


3.They’d started dinner when we arrived.

a.When we arrived, they began eating._______

b.When we arrived, they were eating.________

c.When we arrived, the meal was finished._______


4.I worked as a travel courier for several years.

a.I’m a travel courier now.______

b.I used to be a travel courier.______

c.I was a travel courier at one time.________

1. b (T)
2. c (T)
3. hii sijaelewa sentesi yenyewe sijui
4. b (T)
 

Similar Discussions

33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom