Jifunze TENSES hapa

Mie tatizo langu ni nakielewa vizuri sana,yaani kwa kuisoma tu na kuisikia hii lugha nipo vizuri mbaya kabisa japo siyo kwa % zote but linapokuja suala la kutaka mimi niandike au nijibu sahihi huwa nashindwa sasa sijui ni uwoga au wenge tu!

Naomba kusaidiwa ktk hili nifanyeje nikae sawa?kichwani nina form five ya Mkapa unajua kipindi hiko kidogo elimu yetu ilikuwa active siyo kama sasa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mie tatizo langu ni nakielewa vizuri sana,yaani kwa kuisoma tu na kuisikia hii lugha nipo vizuri mbaya kabisa japo siyo kwa % zote but linapokuja suala la kutaka mimi niandike au nijibu sahihi huwa nashindwa sasa sijui ni uwoga au wenge tu!

Naomba kusaidiwa ktk hili nifanyeje nikae sawa?kichwani nina form five ya Mkapa unajua kipindi hiko kidogo elimu yetu ilikuwa active siyo kama sasa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Ingia kwenye hiyo thread, watu wametoa sana ushauri.

https/www.jamiiforums.com/threads/english-learning-thread.310708/?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfocCXcfSZknBRzw
 
Mie tatizo langu ni nakielewa vizuri sana,yaani kwa kuisoma tu na kuisikia hii lugha nipo vizuri mbaya kabisa japo siyo kwa % zote but linapokuja suala la kutaka mimi niandike au nijibu sahihi huwa nashindwa sasa sijui ni uwoga au wenge tu!

Naomba kusaidiwa ktk hili nifanyeje nikae sawa?kichwani nina form five ya Mkapa unajua kipindi hiko kidogo elimu yetu ilikuwa active siyo kama sasa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
$ mm wazungu siwasikiagi kabisa
 
Jua linachoma sana Dar yaani afadhali ya Moshi kule halichomi sana kama Dar, kule ni balaa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Hivi unadhani unachozungumza au kifikiri ni lazima tufikiri pamoja? Wewe uliandika ukiwa unajua unachomaanisha kichwani, je, mimi ninaepokea? Wakati huohuo ni wewe tumetoka kutoleana maneno yasiyo mazuri hapohapo utakuja na kauli hii nikuelewe utakavyo? Ninadhani kuna shida ya kuutumia muktadha ipasavyo.
Are you a linguist?

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 

Similar Discussions

33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom