Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suggestion??kufundisha kingereza kwa kiswahili ni mambo ya kizamani sana
kufundisha kingereza kwa kiswahili ni mambo ya kizamani sana
Mie tatizo langu ni nakielewa vizuri sana,yaani kwa kuisoma tu na kuisikia hii lugha nipo vizuri mbaya kabisa japo siyo kwa % zote but linapokuja suala la kutaka mimi niandike au nijibu sahihi huwa nashindwa sasa sijui ni uwoga au wenge tu!
Naomba kusaidiwa ktk hili nifanyeje nikae sawa?kichwani nina form five ya Mkapa unajua kipindi hiko kidogo elimu yetu ilikuwa active siyo kama sasa.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
$ mm wazungu siwasikiagi kabisaMie tatizo langu ni nakielewa vizuri sana,yaani kwa kuisoma tu na kuisikia hii lugha nipo vizuri mbaya kabisa japo siyo kwa % zote but linapokuja suala la kutaka mimi niandike au nijibu sahihi huwa nashindwa sasa sijui ni uwoga au wenge tu!
Naomba kusaidiwa ktk hili nifanyeje nikae sawa?kichwani nina form five ya Mkapa unajua kipindi hiko kidogo elimu yetu ilikuwa active siyo kama sasa.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Asante kwa link mkuuIngia kwenye hiyo thread, watu wametoa sana ushauri.
https/www.jamiiforums.com/threads/english-learning-thread.310708/?iorg_service_id_internal=925946837445621%3BAfocCXcfSZknBRzw
Ooh basi mkuu uko sahihi nimepata kitu,kumbe a,b,c,d,e mpaka z ndo consonant alaf irabu ndo a,e,i,o,u
Sent using Jamii Forums mobile app
WRONG! HATA KWENYE PIGEON ENGLISH HAIMO!" I went to collect the children to the Dar express bus service but they don't their in that bus "
No hivo bro
Sent using Jamii Forums mobile app
OnYou can just put him under the ignore list.
Put him in the ignore list, on the ignore list.
Ipi ni sahihi hapo?
Are you a linguist?Hivi unadhani unachozungumza au kifikiri ni lazima tufikiri pamoja? Wewe uliandika ukiwa unajua unachomaanisha kichwani, je, mimi ninaepokea? Wakati huohuo ni wewe tumetoka kutoleana maneno yasiyo mazuri hapohapo utakuja na kauli hii nikuelewe utakavyo? Ninadhani kuna shida ya kuutumia muktadha ipasavyo.
Are you a linguist?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Are you the first or the last born in your family? Sasa hapo unakuwa umemjaribu yeye ili akwambie ni wa ngapi?(unakuwa umemzunguka tu)
Sent using Jamii Forums mobile app
' They don't their ina that bus' hapa ndio unamaanisha hawakuwepo kwenye bus?