Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 459
- 495
Zoezi gani linajaza miguu?
Hivi ni kwa nini mtu akifanya mazoezi ya Kujenga mwili aka acha huwa anapungua sana, na je haiwezekan kuacha na kumaintain body?Leg press na leg extension zipo vizuri sana hii ni kama upo gym.
Kama hauingii gym squats za kawaida na za visigino kuinuka zipo vizuri.
Kuacha na kumaintain hutegemea na mahitaji ya mfanya mazoezi, mfano mtu ambaye bodybuilding ni maisha/ ajira yake tuchukulie Arnold au Simeon Panda hawawezi kupungua mpaka kua kama bakora kwa kua ni maisha yao.Hivi ni kwa nini mtu akifanya mazoezi ya Kujenga mwili aka acha huwa anapungua sana, na je haiwezekan kuacha na kumaintain body?
Me nataka nianze mazoezi lakini kuna kipindi ntakuwa na shughuli nyingi hivyo ntashindwa kuwa na ratiba ya mazoezi, wanishauri nini hapo?
Elezea mkuu.Leg press na leg extension zipo vizuri sana hii ni kama upo gym.
Kama hauingii gym squats za kawaida na za visigino kuinuka zipo vizuri.
Hii ni leg pressElezea mkuu.
Sasa mkuu mazoezi yote unayofundisha hapa pamoja na hili la leg extension/press yanaanza kuonekana yamejengeka mwilini baada ya muda gani tangu uanze gym?Hii ni leg press
View attachment 474179
Gym zilizokamilika hua zina leg press machine hapo ndiyo utafanyia zoezi lako. Kama utakua unapiga zoezi la mguu seti nzima napendekeza kila zoezi liwe na seti tatu.
Hii ni leg extension ukiwa umekaa.
View attachment 474180
Kwa kawaida gym zenye leg press machine hua hazikosi na extension machine, napendekeza seti kama za hapo juu.
Hii ni leg extension ukiwa umelala.
View attachment 474182
Watu wengine huiita leg curls, gym iliyo kamili hata hii mashine hautaikosa na yenyewe idadi ya seti iwe kama za hapo juu.
NB.
Picha zimetoka mtandaoni.
Matokeo ya mazoezi tukisema ya kwamba vitu vyote vipo kama inavyohitajika mfano chakula, muda wa kupumzika, maji na kila kitu na hautumii supplements ni wiki sita.Sasa mkuu mazoezi yote unayofundisha hapa pamoja na hili la leg extension/press yanaanza kuonekana yamejengeka mwilini baada ya muda gani tangu uanze gym?
Lakini mazoezi kila siku gym si yanapunguza mwili au inatakiwa vipi?Matokeo ya mazoezi tukisema ya kwamba vitu vyote vipo kama inavyohitajika mfano chakula, muda wa kupumzika, maji na kila kitu na hautumii supplements ni wiki sita.
Ndiyo maana nikasema kupumzika.Lakini mazoezi kila siku gym si yanapunguza mwili au inatakiwa vipi?
Ndiyo maana nikasema kupumzika.
Na kupumzika kimazoezi ni kwamba katika wiki haufanyi zoezi moja kila siku.
Mfano hii ndiyo hua ratiba yangu;
J/tatu = Bench (Kifua)
J/nne = Squats (Miguu)
J/tano = Shoulders (Mabega)
A/hamisi = Back (Mgongo)
Ijumaa = Bench (Marudio)
J/Mosi = Squats (Marudio) au kukimbia
J/pili = Mapumziko
Kabisa, ingawa kama hatutatilia maanani swala la genes za mhusika, effects hazitaenda sambamba na mwili wa juu hii ni kwa kua mwili wa juu body receptors zake zinaitika haraka kushinda za mwili wa chini.Kwa ratiba hizo mkuu maana yake kama ni squart utafanya mara mbili kwa wiki yaani sawa na mara kumi na mbili kwa wiki sita, je kwa muda huo kweli kunaweza kuwa na effect yenye kuonekana?
Genes unamaanisha kwamba kuna watu miili yao iko hivyo na haibadiliki hata kwa mazoezi?Kabisa, ingawa kama hatutatilia maanani swala la genes za mhusika, effects hazitaenda sambamba na mwili wa juu hii ni kwa kua mwili wa juu body receptors zake zinaitika haraka kushinda za mwili wa chini.
Hahahahaha hapana namaanisha kuna watu kutokana na genes kuna sehemu za mwili hupokea mazoezi haraka kushinda watu wengine.Genes unamaanisha kwamba kuna watu miili yao iko hivyo na haibadiliki hata kwa mazoezi?
Nimekuelewa sana mkuu, na kuhusu mlo wa siku nzima ukoje ili ujenge mwili na kuupa mwili nguvu?Hahahahaha hapana namaanisha kuna watu kutokana na genes kuna sehemu za mwili hupokea mazoezi haraka kushinda watu wengine.
Mwili ni utabadilika tu kama siyo effect A utabadilika kwa effect B
Mkuu mm niliteguka misuli ya mkono wa kushoto, sasa baada ya kupata matibabu na maumivu kuisha nataka nianze upyaVitu vizuri, nlipata maumivu ya viungo nikapumzika zoezi kwa miezi kadhaa, sasa nipo vizuri nataka nianze tena
HahahahahahMkuu hili zoezi nawaona wadada wanaopenda kuongeza makalio,wanafanya sana je haitaleta tabu kwa wanaume, ukajikuta kalio linainuka
Chakula chako kitategemea na nini unataka kitokee baada ya kufanya gym kua eneo la kutembelea mara kwa mara yaani unataka mwili mkubwa sana au wa kawaida tu.Nimekuelewa sana mkuu, na kuhusu mlo wa siku nzima ukoje ili ujenge mwili na kuupa mwili nguvu?