Jifunze sheng. Soma masaibu ya huyu msee. Long Post alert

lwangam

Member
Oct 24, 2011
92
58
A thread by Billy
Nimewai lala ndani siku mbili juu ya kupatikana na mtoto wa polisi. THREAD. Kuna time nilikuwa attacho hapo Kabete kwa Cyber flani, ilikuwa ile msimu ya ku type business plans na projects… wengine waki ingiza work experience mimi nilikuwa naingiza pesa na work experience pia! So kuna time hizo business plans na project zikapungua so tukabaki na photocopy services tu, nikabaki works peke yangu coz kawaida ukiwa attacho we ndio huwa punda… punda vumilia! Kitu saa nane hapo dem flani akaleta kazi ya ku type, mtoto yello yello kama school bus za Matiang’I, alafu anakaa mpole, ilikuwa kazi ya 20pages nikamsho anipee 1hour nitakuwa nimemaliza. Akadai sawa but ako na njaa anaenda ku fix lunch na amechoka, so akanipea namba yake nimkol nikimaliza ku type coz anadai ku submit hiyo kazi kesho yake

Hakunanga kitu hufurahisha mwanaume kama kupata namba ya pengting ameivaa, mtu hu feel ni kama ametoka group stages na ako quarter finals kwa roho ya huyo dem

After about an hour nikamaliza so nikamkol akuje ku proofread kazi yake before ni print ndio a check kama kuna mistakes zozote… dem akadai anakuja nimpatie 10 minutes! After kupitia kazi akadai nimefanya kazi poa naeza print, then akadai ako na kazi ya photocopy pia anadai kuniletea but ni mob, nikamsho alete coz kama Mwai Kibaki motto yangu pia huwa, Kazi iendele. Akaenda then akarudi after 30 minutes na kazi yenyewe … akadai atapitia jioni kuchukua, anaenda kupumzika coz amechoka. Mwanaume nikafanya kitu ilikuwa imenileta attacho.. kazi! Kitu 7 hapo nikamkol coz kama Ramadhan kazi hufungwa na simuoni, akadai alikuwa amedoz, ati nimefanya poa kumuamsha coz ange oversleep akose kupika supper… akadai ka si mind nimlete kwake

Sikuwa na otherwise nikaitikia tu coz the customer is always right, so kama msee wa pizza nikamuuliza place of delivery... akadai nikuje tu Kabete police station ndani then nimsho kama nimefika hapo

Kama kuna kitu mKenya hawezi fanya, ni kujipeleka police station mwenyewe but juu dem ali insist alafu pia curiosity killed the cat, curiosity ikaniingia nikaenda kuona ka naeza kill her pus… nvm! Kufika stenje nikampigia akadai nimngoje hapo ama kama najua mahali servants quarters ziko nifanye nikitembeza kiatu tukutane… si nakaamua kutembea ku avoid kukaa suspicious ndani ya police station. Tuka meet half way akadai niingie atleast nikunywe chai ndio niende, uoga na mimi tulikuwa kama chanda na pete but dem alikuwa persuasive ikabidi nimfuate, afterall tamaa iliua fisi na mimi ni mtu! Ilikuwa nyumba ya two bedroom, but akadai hiyo hao wana share, yao ni sitting room na bedroom na kuna karao anaishi hiyo bedroom ingine but hakuwa around, alikuwa ameenda ocha. Ndio nika realize yeye ni mtoto wa karao but babake ame rent hao ingine huko Westlands coz huko ndio ako posted na traffic police so yeye huwa pekee yake … kwa akili nika underline “pekee yake!”

But babake hukujaa wikendi kumtembelea once in a Bluemoon… in short akikuja, yeye hukuja tu kukunywa na workmates wake hapo police canteen ya stenje then anarudi kwake. Tukakunywa chai tukijuana, by kitu 9 hapo nilikuwa nimemjua inside out si mtu mbaya, actually ni mtu lonely sana coz alikuwa ana stay pekee yake na pia alikuwa open minded… easy to talk! Alafu si unajua mwenda tezi na Omo marejeo ni nyumbani? Nikarudi kwangu kitu 8:30 hapo kulala usingizi wa porno, coitus on the first day ikabaki kuwa ndoto!. Two days later alinikujia jioni, uzuri tulikuwa wawili works, mimi na supervisor, supervisor akani allow nitoke kiasi… dem alikuwa anataka mtu wa kumfikisha soko asisumbuliwe na mafisi wa mtaa. Hakuna priviledge ka kutembea mtaani na pengting ameivaa, mtu hu feel ni ka ameshinda jackpot ama ameangukia tender, kwanza hiyo day unasalamia kila mtu ndio waone hukuwangi mchache, uko na taste

Hiyo day tukachapa maraundi alafu akadai nimfikishe kwa hao pia coz ameboeka na anadai tu mtu wa kuongea na yeye, nikapitia works nikaomba ruhusa mbikoz mimi ni intern tu, lazma uombe ruhusa

Ilikuwa 6:30 so this round karibu kila polisi hapo canteen alitucheki tukipita, but akasema nisi mind, hao huangalia tu watu vibaya hivyo hadi amezoeye… hiyo ikanipea false sense of confidence kiasi! This round akadai tuingie bedroom coz ule karao mwingine alikuwa area na hakuwa anadai usoro, unaskianga out of the frying pan into the fire, mimi nilienda out of the sitting room into the bedroom… big mistake! Alafu unajua nyumba mna share huwa hamfungi mlango, unairudisha tu ndio incase huyo house mate mwingine anakuja asishinde ame knock na labda ume doze… another big mistake! Kufika bedroom hakukuwa na kiti so kitanda nikagundua si ya kulala pekee, mtu anaeza kalia pia, akanisho niache uoga ni feel at home… but ilikuwa police station, kitu unaeza feel ni prison tu. TV ilikuwa sitting room na juu alikuwa amedai TuPac bedroom, All Eyes Were On Her, walai dhambi zote huanzia kwa akili kabla ya mwili… kwanza dress yake ilikuwa transparent kama chai ya kibanda! Wueh! Supper ilikuwa brief, ilikuwa ugali mayai, so by 7:30 tulikuwa tushasahau story na supper alafu mvua ilikuwa imeanza ku drizzle ikabidi ningoje tu hadi iishe ndio niende… siku ya mwizi enyewe huwa forte. Hata kwa Bible vile kulikua wet all over hadi kuka flood, wanyama waliingia wawili wawili kwa Noah’s Ark coz hiyo ndio mtindo… in short, kulikuwa kunanyesha, tuko wawili, Kitanda ni Ark, quick maths! Alini join kwa bed then coincidentally lights zikaenda, so tulikuwa kwa giza, alafu wahenga walidai, kitanda ukikalia sharti ukilalie, akadai tuingie inbetween the sheets ku keep warm tukingoja lights… temptation zikikuamulia, huwa hazibahatishi! Dem alikuwa baridi mguu nikama kulala na panga, akadai mimi niko warm so akaanza ile njaro ya kutafta joto kwa mwili yangu aki rub miguu zake kwa zangu na pia mikono.. shida ni alikuwa ana raise temperatures zangu instead. Wahenga pia waliona mbele sana vile walinena samaki mkunje angali mBitchy, hivyo ndio tulijipata foreplay kimchezo mchezo, tukaacha kucheza na mwili pekee tukaanza kucheza na nguo pia

Panty na bra zilikuwa kama hongo na tuko police station so nilizitoa, boobs na kinyambis zilikuwa kama wafungwa vile nilikuwa nazishika… dem alikuwa kama carrot coz bila CD ilibaki nimemkula raw! Mnasemanga siku ya nyani kuteleza miti zote huteleza mnakosea, Mjulubeng ilikua imesimama, na juu dem alikuwa wet kushinda Ndakaini dam, mjuols ilikuwa inatereza kama probox kwa matope…

Hakuna kitu hu confuse pneumonia kama mechi inafanyika mkiwa uchi wote na kuna baridi, body temperatues huwa high kushinda alcohol content ya BlueMoon… mnakulana mbu zikiwa kula pia! Msolokombo na ikus zilikuwa ndugu wa toka nitoke, yaani ilikuwa handshake bila mikono, ilikuwa missionary work bila bible, nilikuwa ka P-Unit vile nilikuwa nina Weka weka… ilkuwa tits for nuts!!! Ilikuwa ku pullout kama gari kwa drive way, ku withdraw kama MPesa na kumwaga kama pesa za campaign… tamaa za mwili huwa tamu kama sambusa ya nyama ama pesa za NYS! Tukaamua ku spoon tukiwa ndethe kufukuza baridi, ilikuwa body to body, hata sikujua ni saa ngapi coz usingizi flani iliniokota nikashtuka vile mlango ilifunguka alafu flash lights zilikuwa zinanimulika kwa uso. At first nilidhani niko kwangu nimeingiliwa na wezi so kitu nilifanya ya kwanza ni kupiga nduru but nikanyamazishwa na kofi ya uso hadi nika regain senses nikakumbuka nilikuwa mechi Away! Alafu ku make it worse ni kwa police station, walikuwa mtu tatu kwa hiyo room, kulikuwa na giza Toronto… I mean totoro, nguo zilikuwa kwa floor but sikupewa chance ya kuzitafta coz nyahunyo ilikuwa inanitembela kama mgeni. Ilikuwa either nifiche tarimbo a.k.a mjeledi ama nijaribu kuji shield nyahunyo ikinitembelea, but juu uchungu ilikuwa muhimu kuliko aibu ilibidi nimejiwachilia tu bora niji shield viboko za kichwa… sura muhimu

Dem alikuwa amejifunika na duvet akasonga kwa corner akaniwacha at the receiving end, nilikuwa napigwa nikiulizwa maswali but sijui nijibu nani coz wote walikuwa wananiuliza na sijui nani ni nani coz flash lights tu ndio nilikuwa naona

Kitu nili manage kuvaa ni shorts na panty… nili realize baadaye ni panty nimevaa but cha muhimu ni kuficha uchi nikibebwa juu juu kupekelekwa cell… nguo zingine zilibaki huko na viatu na simu pia! At that point nilijua naeza kuwa charged with anything, indecent exposure juu nlikua uchi, resisting arrest juu ya ku shield nyahunyo, in possession of a weapon of mass distraction juu ya mjuols,

Trespassing into a police property without a valid warrant, damaging police property juu ya kunyandua mtoto wa polisi, looking suspicious inside a police station juu nlikua stenje at that hour! Hiyo cell kitu nilikula ni baridi, kichapo, aibu na adabu, alafu kesho yake jioni wakaniachilia nikatoka mbio nikikaa amateur night runner, nikajifanya nimetoka jogging, shida sikuwa na viatu na vest! Kufika kwangu nakumbuka vifungu ziko kwa longi, longi iko kwa akina huyo dem, kwakina huyo dem ni huko stenje, stenje ndio nimefunzwa adabu… na hakuna vile wa-Israeli wangerudi Misri! So kitu nilifanya ni kupita na mlango teke coz ningeenda kuomba nyundo kwa jirani aibu na maswali ingezidi, uzuri hiyo mlango ilikuwa weak… ikafunguka kama milango za gereza enzi za Paulo na Sila
 
Aina ya usimulizi imenifurahisha sana.. Asa huyu mkora akajisahau akajua yupo kwao.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom