Ukipenda bidhaa......ifungue.....
Utapata maelekezo yote ya jinsi ya kununua.....
Binafsi nilishawahi kuagiza kitu na nikakipata......
Unaweza mkajadiliana bei pia.......
application gani unatumia?mzigo wangu upo dar leo siku ya 5 sijui posta wanakwama wapi au mpaka iwe mingi ndio itumwe mikoani
nikiingia pale seller ananiuliza kama nina Urgent wangu wa AirCargo sasa sijaelewa vizuri hiyo inakuaje? Au wewe ulifanyaje...Ukipenda bidhaa......ifungue.....
Utapata maelekezo yote ya jinsi ya kununua.....
Binafsi nilishawahi kuagiza kitu na nikakipata......
Unaweza mkajadiliana bei pia.......
Niliona kuna bidhaa kama memory card nyingine min order ni 10 je nafanyaje nafanyaje kwasababu walinambia wanamtaka ajenti wa AirCargo na mm sielewi naweza nikampata vp?Mkuu unataka kuagiza biadhaa moja au nyingi?
Tambua hili,
Alibaba ni muuzaji wa jumla (wholesale) huku untakiwa kununua bidhaa kuanzia pics kadhaa mfano unakuta seller ameku-limit min order ni 20pcs,
Aliexpress ni mtoto wa Alibaba, maana yangu ni kuwa Aliexpress inahusika na uuzaji wa rejareja huku unaweza kununua bidhaa kuanzia moja na kuendelea, japokuwa hata Alibaba unao uwezo wa kununua 1pc lakini inategemea na bidhaa mfano huwezi ukauza mashina ya kulimia kwa min order 20pcs.
Kuna Platform zingine kama Globalsources, Made-in-china, Banggood,klipkart, Gearbest, n.k
Ndio wewe ulishawahi kuagiza?alibaba hata rejareja huwa anauza. kuna baadhi ya seller
Je na hizo Globalsources, Made-in-china, Banggood,klipkart, Gearbest mfumo wao umekaa vp?Mkuu unataka kuagiza biadhaa moja au nyingi?
Tambua hili,
Alibaba ni muuzaji wa jumla (wholesale) huku untakiwa kununua bidhaa kuanzia pics kadhaa mfano unakuta seller ameku-limit min order ni 20pcs,
Aliexpress ni mtoto wa Alibaba, maana yangu ni kuwa Aliexpress inahusika na uuzaji wa rejareja huku unaweza kununua bidhaa kuanzia moja na kuendelea, japokuwa hata Alibaba unao uwezo wa kununua 1pc lakini inategemea na bidhaa mfano huwezi ukauza mashina ya kulimia kwa min order 20pcs.
Kuna Platform zingine kama Globalsources, Made-in-china, Banggood,klipkart, Gearbest, n.k
Kuna shipping agent wanaotuma mizigo kuja TZ kama GNM na Unique Air Cargo n.k, kuwapata hawa ingia instagram then search Unique air Cargo au GNM utapata wasiliano yaoNiliona kuna bidhaa kama memory card nyingine min order ni 10 je nafanyaje nafanyaje kwasababu walinambia wanamtaka ajenti wa AirCargo na mm sielewi naweza nikampata vp?
Made in China na Global-sources ni wauzaji wa jumla kutoka China, ila Klipkart kutoka INDIA, Gearbest na Ganggood hawa ni wauzaji wa rejarejaJe na hizo Globalsources, Made-in-china, Banggood,klipkart, Gearbest mfumo wao umekaa vp?
Yes wapo ila shida inakuja ni gharama za udafiri, mfano Supplier anauza min order mfano memory card GB 32 min order ni pc 1 ambayo tuseme ni 70,000/- then usafiri unaambiwa ni $20, sasa hapo utaweza kununua?alibaba hata rejareja huwa anauza. kuna baadhi ya seller
ok ni vp kuhusu gharama za usafirishaji kwasababu naweza nikaagiza memory card 10 zenye faida ya 3000 mfano kwa zote ikawa elfu 30 afu usafirishaji inakuwa 25,000 vp kuhusu hilo?Kuna shipping agent wanaotuma mizigo kuja TZ kama GNM na Unique Air Cargo n.k, kuwapata hawa ingia instagram then search Unique air Cargo au GNM utapata wasiliano yao
hapo nimekusoma broh kumbe inabidi order ziwe nyingiiYes wapo ila shida inakuja ni gharama za udafiri, mfano Supplier anauza min order mfano memory card GB 32 min order ni pc 1 ambayo tuseme ni 70,000/- then usafiri unaambiwa ni $20, sasa hapo utaweza kununua?
Je kama nikitaka kuagiza tv maxmum usafirishaji inaweza ikawa shingapi?Yes wapo ila shida inakuja ni gharama za udafiri, mfano Supplier anauza min order mfano memory card GB 32 min order ni pc 1 ambayo tuseme ni 70,000/- then usafiri unaambiwa ni $20, sasa hapo utaweza kununua?
wanatoza kwa Kg 13$/kgok ni vp kuhusu gharama za usafirishaji kwasababu naweza nikaagiza memory card 10 zenye faida ya 3000 mfano kwa zote ikawa elfu 30 afu usafirishaji inakuwa 25,000 vp kuhusu hilo?
Yeshapo nimekusoma broh kumbe inabidi order ziwe nyingii
Vitu vya kuvunjika vunjika gharama yake inakuwa juu kidgo unaweza ukaambia laki 1.5 kwa Tv moja hapa njia ya ndege, kwa njia ya meli haizidi 50,000Je kama nikitaka kuagiza tv maxmum usafirishaji inaweza ikawa shingapi?
ok kwaiyo kak unanishaurije kama tv bei pamoja na usafiri si inaweza ikawa sawa tu na tz?Vitu vya kuvunjika vunjika gharama yake inakuwa juu kidgo unaweza ukaambia laki 1.5 kwa Tv moja hapa njia ya ndege, kwa njia ya meli haizidi 50,000