Import duty
na VAT
Sina hakika ipi ni 20% na ipi ni 18%

Hivo mzigo kama ni 100$ na uko valid kupigwa ushuru basi watachukua (100$ × 0.18) + (100×0.20)

Na huo ndo ushuru wako ila ikumbukwe educational materials hazipaswi kugongwa ushuru

Bila shaka mkuu hiyo % inapigwa kwa kujumlisha bei ya manunuzi na shipping au niko wrong?
 
mara nyingi invoice za vitu kutoka eBay huwa zinaficha bei halisi na bei za kuship

Lkn iwapo wataziweka zote shipping na Ile ya cost ya kitu basi zote zitaunganishwa kwenye ushuru

Asante mkuu..so uwa wanakadiria au wana calculate vp?je nikiwa na mtu kule,na akaninunulia toka Amazon,ebay etc then akaship mwenyewe,je kwa mtazamo wako inaweza ikaleta unafuu wowote kwa huku?
 
Kwa mfano iphone 5S wanatoza kodi?? INaweza kuwa kiasi gani?

kwa kweli mm tokea DHL nigundue wanatoza ushuru siwatumii tena issue kama hizo kama naagiza na myus.com natuia Fedex hao nina uhakika hawa charge ushuru kwa vitu vya matumizi binafsi

Nakumbuka siku moja nimeenda DHL kutoa mzigo wangu nikakuta kuna mdada ambae tulifahamiana akidai yuko analipia taxation za Sony experia z1 ambayo alitumiwa tena kama zawadi

Hivo hali iko hivo kama kitu kipo eligible wanachukua 18% ya item(VAT) wanajumlisha na 20% ya cost ya item(Import duty) wanakuhesabia ushuru
Wanayo GVT of TZ fee kama 1000/=
Wanayo release fee kama 5,000/=
yaani wale matapeli wakubwa tu mzigo hawauachii hivi hivi
 
kwa kweli mm tokea DHL nigundue wanatoza ushuru siwatumii tena issue kama hizo kama naagiza na myus.com natuia Fedex hao nina uhakika hawa charge ushuru kwa vitu vya matumizi binafsi

Nakumbuka siku moja nimeenda DHL kutoa mzigo wangu nikakuta kuna mdada ambae tulifahamiana akidai yuko analipia taxation za Sony experia z1 ambayo alitumiwa tena kama zawadi

Hivo hali iko hivo kama kitu kipo eligible wanachukua 18% ya item(VAT) wanajumlisha na 20% ya cost ya item(Import duty) wanakuhesabia ushuru
Wanayo GVT of TZ fee kama 1000/=
Wanayo release fee kama 5,000/=
yaani wale matapeli wakubwa tu mzigo hawauachii hivi hivi

Mizigo yangu yote natumia posta, huwa siwaambii sellers watumie DHL kwasabab siwaamini
 
kwa kweli mm tokea DHL nigundue wanatoza ushuru siwatumii tena issue kama hizo kama naagiza na myus.com natuia Fedex hao nina uhakika hawa charge ushuru kwa vitu vya matumizi binafsi

Nakumbuka siku moja nimeenda DHL kutoa mzigo wangu nikakuta kuna mdada ambae tulifahamiana akidai yuko analipia taxation za Sony experia z1 ambayo alitumiwa tena kama zawadi

Hivo hali iko hivo kama kitu kipo eligible wanachukua 18% ya item(VAT) wanajumlisha na 20% ya cost ya item(Import duty) wanakuhesabia ushuru
Wanayo GVT of TZ fee kama 1000/=
Wanayo release fee kama 5,000/=
yaani wale matapeli wakubwa tu mzigo hawauachii hivi hivi


FedEx and DHL ipi ni cheap kwenye gharama za ushuru.
 
Ni kweli kaka hizi ideas hapa ndiyo mahali pake kwa kupeana mambo ya kijanja xo respect vip kama unahitaji kuagiza used electronic process ndiyo hizi hizi mkuu
 
Kwa uzoefu wako mkuu,je ile sale season uwa ina apply mpaka kwenye sites kama amazon na ebay au ni kwa baadhi ya site tu?na je big sale season uwa ni miezi gani?
 
Back
Top Bottom