Jifunze namna ya kutengeneza dawa ya kusafishia marumaru

Beeb

JF-Expert Member
Aug 18, 2018
29,402
58,951
Habari za jumapili wapendwa,

Yna2 Leo nimewaletea somo la kujifunza namna ya kutengeneza dawa ya kusafishia marumaru.

MAHITAJI

-hydrochloric acid Lita 10- kazi yake kuondoa uchafu sugu ulio kwenye marumaru
-maji lita30
-sless au sabuni ya maji lita1-kuleta povu kwenye dawa yetu
-perfume vijiko 6 vya chakula- kuleta manukato kwenye dawa yetu
-pipa au ndoo
-rangi ukipenda vijiko 2 vya chakula
-usisahau gloves..mask ya pua..buti

JINSI YA KUTENGENEZA

Andaa mazingira yako yawe masafi. Tayarisha pipa au ndoo/beseni yako. Anza kuweka maji lita30, ikifuatiwa na hydrochloric acid Lita 10, ikifuatiwa na sless au sabuni ya maji lita1, perfume na rangi kisha koroga kwa dakika 15.

Dawa yetu itakua tayari

Nimemaliza.
 
Mahitaji tunapataa wapi?! Na je haiunguzi?! Mfano ukikanyaga bahat mbaya?!
 
Mahitaji tunapataa wapi?! Na je haiunguzi?! Mfano ukikanyaga bahat mbaya?!
Mahitaji yanapatikana maduka ya malighafi ya viwandani..kariakoo mtaa wa gerezani...inaunguza ndiyo maana nimeandika hapo juu ukiwa watengeneza uvae buti .
 
Toa ufafanuzi hapa kwenye hivi vipengele:

1. HCl iwe na conc asilimia ngapi?

2. Ni perfume gani hapa unayotaja, fragrant oil extracts zile za perfume au ni katika form ipi?

3. Rangi zipi hapa, zile za vyakula, nyumba, magari ama?

MAHITAJI

-hydrochloric acid Lita 10- kazi yake kuondoa uchafu sugu ulio kwenye marumaru

-perfume vijiko 6 vya chakula- kuleta manukato kwenye dawa yetu

-rangi ukipenda vijiko 2 vya chakula
 
Toa ufafanuzi hapa kwenye hivi vipengele:

1. HCl iwe na conc asilimia ngapi?

2. Ni perfume gani hapa unayotaja, fragrant oil extracts zile za perfume au ni katika form ipi?

3. Rangi zipi hapa, zile za vyakula, nyumba, magari ama?
Rangi za magari kidding
 
Toa ufafanuzi hapa kwenye hivi vipengele:

1. HCl iwe na conc asilimia ngapi?

2. Ni perfume gani hapa unayotaja, fragrant oil extracts zile za perfume au ni katika form ipi?

3. Rangi zipi hapa, zile za vyakula, nyumba, magari ama?
HCI asilimia 31 ambayo inakuwa imeshakua diluted kutoka huko inapotengenezwa na hua wanadilute kutokana na matumizi husika ya hiyo HCI

Perfume haipo katika mfumo wa oil..ipo kwenye mfumo wa maji ila yenye harufu nzuri

Rangi maalum zinazotumika kwenye bidhaa za sabuni..

Siyo mbaya ukaweka za vyakula nyumba na magari pia
 
HCI asilimia 31 ambayo inakuwa imeshakua diluted kutoka huko inapotengenezwa na hua wanadilute kutokana na matumizi husika ya hiyo HCI

Perfume haipo katika mfumo wa oil..ipo kwenye mfumo wa maji ila yenye harufu nzuri

Rangi maalum zinazotumika kwenye bidhaa za sabuni..

Siyo mbaya ukaweka za vyakula nyumba na magari pia
Naam haya ndio maneno yna2...

Maana hii michanganyiko ya kemikali hukawii kutengeneza compound isiyo na jina
 
Habari za jumapili wapendwa,

Yna2 Leo nimewaletea somo la kujifunza namna ya kutengeneza dawa ya kusafishia marumaru.

MAHITAJI

-hydrochloric acid Lita 10- kazi yake kuondoa uchafu sugu ulio kwenye marumaru
-maji lita30
-sless au sabuni ya maji lita1-kuleta povu kwenye dawa yetu
-perfume vijiko 6 vya chakula- kuleta manukato kwenye dawa yetu
-pipa au ndoo
-rangi ukipenda vijiko 2 vya chakula
-usisahau gloves..mask ya pua..buti

JINSI YA KUTENGENEZA

Andaa mazingira yako yawe masafi. Tayarisha pipa au ndoo/beseni yako. Anza kuweka maji lita30, ikifuatiwa na hydrochloric acid Lita 10, ikifuatiwa na sless au sabuni ya maji lita1, perfume na rangi kisha koroga kwa dakika 15.

Dawa yetu itakua tayari

Nimemaliza.
Mgodi unao tembea.. Kuna kiumbe kabahatika kupata mke hapa

Ubavu wangu huko ulipo , kabla hatujakutana nataka uwe kama yna2
 
Back
Top Bottom