We kweli nziNyegezi linatamkwa Nyege-zi na sio Nyegezi
An hour1. Advertisement-linatamkwa 'Advatizment' na siyo 'Advataizment'
2. Pharaoh-linatamkwa 'Fero' na siyo 'Farao'
3. Answer-'ansa' na siyo 'answa'
4. Hour-'awa' na siyo 'hawa'
5. Chaos-'keos' na siyo vinginevyo
N.B Karibuni kwa nyongeza
aint mad at cha outa, em, fckng birds? oucha, gotta, wanna, we at the crib??1. Advertisement-linatamkwa 'Advatizment' na siyo 'Advataizment'
2. Pharaoh-linatamkwa 'Fero' na siyo 'Farao'
3. Answer-'ansa' na siyo 'answa'
4. Hour-'awa' na siyo 'hawa'
5. Chaos-'keos' na siyo vinginevyo
N.B Karibuni kwa nyongeza
Balaa kwa wahindi au wanaigeria.Kila taifa linatamka kulingana na lafudhi yao ingawa kiingereza ni kile kile. Kuna nchi ambazo hata uwashikie bakora hawataweza kutamka Kiingereza kama inavyotakiwa, Wabongo tunajitahidi sana kwa sababu lafudhi yetu haijaharibu lugha ya Kiingereza
Ni HistriiHistory- inatamkwa hisitiri na siyo Hisitore.
I owe you = unanidaiMkuu vip ukiwa unadaiwa unasemaje kwa kiingereza, kwa mfano unataka kusema "ninadaiwa kodi na mwenye nyumba" au unataka kusema "ninamdai Juma pesa zangu"
Ni sahihi kabisaI owe you = unanidai
You owe me = ninakudai
nimekumbuka "dimandi shedo"ndugu, nadhani inatamkwa sheju na siyo seju
Na sio Kundu uchikunduchi inatamkwa kundu chi
Au Kibo rlonyi..Kibo Only : inatamkwa " Kibororoni"