Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Thanx farhina kwa pishi hili. Mimi limenipita upande ingawa nalipenda.

Sasa hapo kwenye baking powder ni option au lazima, coz nakumbuka kama huweki.

Na badala ya handmixer naweza kutumia mchapo?

Thanx again dear

BP ni lazima, otherwise haiwezi fura mkate labda uwe unatumia self raising flour then you dont need. hebu tumsubiri farkhina
 
Thanx farhina kwa pishi hili. Mimi limenipita upande ingawa nalipenda.

Sasa hapo kwenye baking powder ni option au lazima, coz nakumbuka kama huweki.

Na badala ya handmixer naweza kutumia mchapo?

Thanx again dear

Umesahau tu lakin baking powder unaweka ili mkate uwe laini na kuumuka kidogo..

Yeah unaweza kutumia mchapo
 
Last edited by a moderator:
Keki kakuambia nani? Huu ni mkate wa mayai....

Cc Angel Nylon
Farkina mimi mwenyewe nilikuwa najua cake "sponge cake" ambayo ratio yake inakuwa sawa kwa karibia ingridients zote.nimeona tofauti kwenye baking powder ndo nikajua mkate maana ile keki haitumii raising agent yoyote mayai ndo yana act kama raising agent yanapopigwa hadi kutoa povu
 
Last edited by a moderator:
Thanx farhina kwa pishi hili. Mimi limenipita upande ingawa nalipenda.

Sasa hapo kwenye baking powder ni option au lazima, coz nakumbuka kama huweki.

Na badala ya handmixer naweza kutumia mchapo?

Thanx again dear

upo sahihi Angel Nylon hii cake haina ulazima wa raising agents
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni wapendwa. Za masiku kadhaa?

Mahitaji:
Unga sembe glass 1
Unga ngano glass 1
Sukari glass 1 (unaweza kupunguza kidogo)
Maziwa glass 1
Mafuta 1/2 glass
Mayai 4
Iliki iliosagwa 2tbs
Bp 2tbs

Jinsi ya kupika:
Saga sukari yako uweke kwenye bakuli safi pamoja na mayai. Tumia mashine ya cake kusagia hadi ifure/ivimbe.
Weka mafuta saga, weka maziwa saga, weka unga wa ngano na bp(bp imix kwenye unga kabla kumimina kwenye mchanganyiko) changanya vizuri halafu malizia kwa kuweka unga sembe na iliki usage vizuri.

Chukua trey au sufuria safi weka baking paper Mimina mchanganyiko wako na uoke.

Ukiwiva utoe na uwache upoe. Mkate wa sembe utakua tayari kwa kuliwa.

Picha zinagoma ...
 
Haiwezekani hicho kinachotokana na ingredients ulizozitaja kiitwe 'mkate wa sembe' wakati ngano ni 50% na sembe 50%, halafu 'sembe' inatoa ugali na 'ngano' inatoa mkate. Hivyo huo sio mkate wa sembe bali ni mkate wenye sembe ndani yake kwa maana ngano ndio inafanya uitwe mkate.

Kwa kifupi huko ni kula ugali wenye ngano ndani yake, na kama unauzwa madukani na mahotelini ni wizi mtupu.
 
Mhhhh! Sikuwahi kujua kama unga sembe unaweza kutumika katika kutengeneza mkate mie nilidhani kama ni kutengeneza mkate basi ni lazima uwe unga ngano. Ahsante sana Best kwa kushare utaalamu wako mtaa wa maakuli.
 
Haiwezekani hicho kinachotokana na ingredients ulizozitaja kiitwe 'mkate wa sembe' wakati ngano ni 50% na sembe 50%, halafu 'sembe' inatoa ugali na 'ngano' inatoa mkate. Hivyo huo sio mkate wa sembe bali ni mkate wenye sembe ndani yake kwa maana ngano ndio inafanya uitwe mkate.

Kwa kifupi huko ni kula ugali wenye ngano ndani yake, na kama unauzwa madukani na mahotelini ni wizi mtupu.

Uite unavyotaka mkuu...ilimradi hatuli majina hautabadilika ladha.
 
Mhhhh! Sikuwahi kujua kama unga sembe unaweza kutumika katika kutengeneza mkate mie nilidhani kama ni kutengeneza mkate basi ni lazima uwe unga ngano. Ahsante sana Best kwa kushare utaalamu wako mtaa wa maakuli.

Besti tena mtamu kweli. Jaribu this week end. Ntakuekea pic ikikubali hapa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom