petermunanka338
Member
- Jul 11, 2015
- 29
- 9
Mwandishi: Peter Munanka
Whatsapp Number: +8615928077274
Email:youngmuna338@yahoo.com
youngmuna338@outlook.com
Sio sili kwamba Wachina wamekuwa wawekezaji(investors) wanaoongoza Tanzania kwa miaka mingi sasa. Katika biashara mbalimbali Dar es Salaam na hata hata nje mikoani especially maduka yote ya nguo, viatu , vifaa vya umeme, simu kariakoo mpaka mikoani asilimia 90 ya bidhaa hizi zimetoka China. Hivi karibuni umesikia kuna kampuni mpya inaitwa Silent Oceans bongo ambayo inadeal na kusafirisha mizigo Tanzania-China na wanatengeneza hela nyingi sana pamoja na kwamba sasahivi hali ya uchumi Tanzania sio stable sana. Hii ni kwasababu wafanyabiashara wengi wa category za kati wameamua kupeleka biashara zao nje ya nchi. mfano mzuri China simu aina ya iphone 6 inauzwa sio zaidi ya Tshs.350,000 ambazo kwa china ni sawa na (1000RMB) kwa makadilio kwenye soko la 广州(Guangzhou) . Maduka yote ya nguo,simu,viatu n.k pale Kariakoo wanatoa mizigo yao China kwasababu ya unafuu wa bei. Mpaka mteja ananunua shati elfu 35,000 kariakoo ujue hiyo bei ni sio china ya mara 2 ya bei aliyonunulia kule Guangzhou.
Turudi kwenye point nisiongee sana nikaja kuwaboa kwasababu bado nawahitaji ninyi wateja wangu haha .Kwanini naandika yote haya?.....Mimi nimekuwa nikiishi China kwa miaka minne (4)sasa katika jiji la Chengdu,Sichuan(成都). Nimegundua umuhimu wa:-
1.Kuwa na connection na mtu aliyepo China kwa ajili ya mizigo.
Kabla ya kuja china nlikuwa nimeagiza mzigo mdogo sana wa simu kutoka China kupitia watanzania wanaokaa pale Guangzhou lakini baada ya kuja huku na kufuatilia inaonekana hawa ni madalali na gharama wanayocharge ni kubwa mno. Kuna umuhimu sana na kuwa na koneksheni na watu waliopo China kwa ajili ya kupata mzigo wa bei nafuu na faida nyingine nyingi. Nafungua ofisi ndogo ya mizigo midogo midogo kutoka China ambayo itarahisisha process na kupunguza bei kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Kwangu mimi hii ni hatua ya kwanza.
2.Kujifunza lugha za hawa wenzetu wachina haswa kwa watu wenye mipango ya kuagiza mizigo.
Pamoja na huduma ya kufundisha lugha kwa wale ambao wanataka kwenda wenyewe China ili kuondoa (usumbufu wa madalali) in english we call them middlemen. Pia baadae mwezi wa 12 kutakuwa na huduma za utalii na consultancy(ushahuri) wa kibiashara.
Whatsapp Number: +8615928077274
Email:youngmuna338@yahoo.com
youngmuna338@outlook.com
Sio sili kwamba Wachina wamekuwa wawekezaji(investors) wanaoongoza Tanzania kwa miaka mingi sasa. Katika biashara mbalimbali Dar es Salaam na hata hata nje mikoani especially maduka yote ya nguo, viatu , vifaa vya umeme, simu kariakoo mpaka mikoani asilimia 90 ya bidhaa hizi zimetoka China. Hivi karibuni umesikia kuna kampuni mpya inaitwa Silent Oceans bongo ambayo inadeal na kusafirisha mizigo Tanzania-China na wanatengeneza hela nyingi sana pamoja na kwamba sasahivi hali ya uchumi Tanzania sio stable sana. Hii ni kwasababu wafanyabiashara wengi wa category za kati wameamua kupeleka biashara zao nje ya nchi. mfano mzuri China simu aina ya iphone 6 inauzwa sio zaidi ya Tshs.350,000 ambazo kwa china ni sawa na (1000RMB) kwa makadilio kwenye soko la 广州(Guangzhou) . Maduka yote ya nguo,simu,viatu n.k pale Kariakoo wanatoa mizigo yao China kwasababu ya unafuu wa bei. Mpaka mteja ananunua shati elfu 35,000 kariakoo ujue hiyo bei ni sio china ya mara 2 ya bei aliyonunulia kule Guangzhou.
Turudi kwenye point nisiongee sana nikaja kuwaboa kwasababu bado nawahitaji ninyi wateja wangu haha .Kwanini naandika yote haya?.....Mimi nimekuwa nikiishi China kwa miaka minne (4)sasa katika jiji la Chengdu,Sichuan(成都). Nimegundua umuhimu wa:-
1.Kuwa na connection na mtu aliyepo China kwa ajili ya mizigo.
Kabla ya kuja china nlikuwa nimeagiza mzigo mdogo sana wa simu kutoka China kupitia watanzania wanaokaa pale Guangzhou lakini baada ya kuja huku na kufuatilia inaonekana hawa ni madalali na gharama wanayocharge ni kubwa mno. Kuna umuhimu sana na kuwa na koneksheni na watu waliopo China kwa ajili ya kupata mzigo wa bei nafuu na faida nyingine nyingi. Nafungua ofisi ndogo ya mizigo midogo midogo kutoka China ambayo itarahisisha process na kupunguza bei kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Kwangu mimi hii ni hatua ya kwanza.
2.Kujifunza lugha za hawa wenzetu wachina haswa kwa watu wenye mipango ya kuagiza mizigo.
Pamoja na huduma ya kufundisha lugha kwa wale ambao wanataka kwenda wenyewe China ili kuondoa (usumbufu wa madalali) in english we call them middlemen. Pia baadae mwezi wa 12 kutakuwa na huduma za utalii na consultancy(ushahuri) wa kibiashara.