Asee sinimepotezewa lakini hamna noma!hahahahahaa akijibu nitagi
Kwan vipi mkuu. Unashangaa samsung kutoka china?
Sidhani kama inapendeza kuweka imei za simu yako hapa mkuu!..Shukran sanaView attachment 860570
sawa sawa mkuu krb oppoHizo mkuu nying znakua mpya tofaut na hizi brand kubwa
Sorry,Baada ya kubonyeza ##786# na click ok auHapa bongo kumekua na wimbi la refurbished phones hasa upande wa samsung ndio kinara.
Refurbished au recondishioned phones ni simu ambazo either zilikua na matatizo ya hardware au softwares baada ya kununuliwa na wateja..kisha zinarudishwa kiwandani kufanyiwa fixing na kisha kuuzwa tena kwa bei ndogo ,kwa sheria moja tu,simu iliyo fanyiwa fixing haiwez kuuzwa tena kama brandnew.
Lakini pia refurbished inaweza kua haikua na matatizo ila mteja aliirudisha kwa muuzaji ili anunue simu nyingine ,hii ina promote buying back program
Hivyo hakuna clear difinition nzur sana ya refurbished phones ukizingatia kila mtu husema lake..ila mara nyingi inamaanisha ni simu iliyo kwisha tumika ,ikawa na shida ikarudishwa kiwandan kwa matangenezo na kisha kuuzwa tena kwa bei chee.
Hasara za Refurbished
1.hutokua na gurantee ya kwamba tatizo lilikokua fixed halitotokea tena,lakini pia hujui simu ilikumbwa na maswaiba gani
2.physical damage,hizi simu kuna mda unakuta zina matatizo kama speaker kutolia vzur,mike kua na shida,lakini pia hueza kua na scratches
3.warranty, hizi simu huwa hazina warranty au zikiwa nazo huwa ni za mda mfupi sana,sellers wanajua hili ni janga ,sasa kutoa warranty hata ya mwaka mzima ni kasheshe,,wengi mnaona warranty za maduka ya kariakoo,..unakuta unapewa siku 15 ,mwezi au miez miwili
4.software problems..simu hizi pia ni rahis kukutana softwares issues tofaut tofaut..
Faida ya refurbished
1.Ina save hela...kama huna mtonyo wa kununua brandnew phone bas refurbished utaipata kwa bei nzuri
2.profit generating..hizi sim kama ww ni una duka lako,basi utapiga hela,maana utazinunua kwa bei rahis na utaziuza hata kwa bei ya brandnew..hii ipo sana kariakoo
Utajuaje sasa sim yako ni refurbished au brandnew?
Bonyeza ##786# kweny dialer kisha ita pop menyu uta click view kisha shuka chini na uangalia " recondishioned status" ikisoma" No" basi simu yako ni original/brandnew ila ikisoma yes basi ni refurbished
Njia ya pili ya kucheki incase njia ya kwanza imegoma ,nenda playstore kisha download app inaitwa phone info itakua yakwanza kabisa...download na install kisha ifungue na upande wa kishoto kwa juu uta click kisha chagua refurbishment check kisha uta skip na utapata majibu ya simu yako
#kuna watu wanauziwa simu kwa bei ya brandnew kumbe ni refurbished,hii itawasaidia wengi..wakati wa manunuzi
Jana rafik yangu kauziwa s7 kwa 700 kuchek ni refurbished..alitakiwa auziwe kwa 500 had 550 kwa bei ya kibongo bongo..
#hizi sio kwamba hazifai sana..noo kibongo bongo ndio zetu,mimi nishamilik refurbished kama mbili na kazikuwahi kunisumbua... ila ni vzur tukizijua zaidi.
WALE WA IPHONE
1. fungua Settings.
2. Shuka chini na fungua General.
3. Gusa About.
4. Shuka chini hadi "Model"
5. Angalia herufi ya kwanza ya model yako
"M" au "P", inamaana iphone yko ni mpya,,,wakati "N" au "F" ni refurbished
View attachment 849382
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Naona kaweka na WiFi address ili wahuni wafanye yao kumdukua.Sidhani kama inapendeza kuweka imei za simu yako hapa mkuu!..
Sawa..ya kwnz imegomeshaHapana mkuu
Kama njia ya kwanza imegoma tumia njia ya pili
😂😂😂wee jamaa acha ugomviVipi kuhusu Tecno?
😂utapigwa maweHahahah hapa ndipo utakapogundua kwamba ule usemi wa "Msafara wa mamba kenge nao wamo" bado una-exist!
wanasemaga tecno ni bora kuliko iphoneHahahah hapa ndipo utakapogundua kwamba ule usemi wa "Msafara wa mamba kenge nao wamo" bado una-exist!
Hapa bongo kumekua na wimbi la refurbished phones hasa upande wa samsung ndio kinara.
Refurbished au recondishioned phones ni simu ambazo either zilikua na matatizo ya hardware au softwares baada ya kununuliwa na wateja..kisha zinarudishwa kiwandani kufanyiwa fixing na kisha kuuzwa tena kwa bei ndogo ,kwa sheria moja tu,simu iliyo fanyiwa fixing haiwez kuuzwa tena kama brandnew.
Lakini pia refurbished inaweza kua haikua na matatizo ila mteja aliirudisha kwa muuzaji ili anunue simu nyingine ,hii ina promote buying back program
Hivyo hakuna clear difinition nzur sana ya refurbished phones ukizingatia kila mtu husema lake..ila mara nyingi inamaanisha ni simu iliyo kwisha tumika ,ikawa na shida ikarudishwa kiwandan kwa matangenezo na kisha kuuzwa tena kwa bei chee.
Hasara za Refurbished
1.hutokua na gurantee ya kwamba tatizo lilikokua fixed halitotokea tena,lakini pia hujui simu ilikumbwa na maswaiba gani
2.physical damage,hizi simu kuna mda unakuta zina matatizo kama speaker kutolia vzur,mike kua na shida,lakini pia hueza kua na scratches
3.warranty, hizi simu huwa hazina warranty au zikiwa nazo huwa ni za mda mfupi sana,sellers wanajua hili ni janga ,sasa kutoa warranty hata ya mwaka mzima ni kasheshe,,wengi mnaona warranty za maduka ya kariakoo,..unakuta unapewa siku 15 ,mwezi au miez miwili
4.software problems..simu hizi pia ni rahis kukutana softwares issues tofaut tofaut..
Faida ya refurbished
1.Ina save hela...kama huna mtonyo wa kununua brandnew phone bas refurbished utaipata kwa bei nzuri
2.profit generating..hizi sim kama ww ni una duka lako,basi utapiga hela,maana utazinunua kwa bei rahis na utaziuza hata kwa bei ya brandnew..hii ipo sana kariakoo
Utajuaje sasa sim yako ni refurbished au brandnew?
Bonyeza ##786# kweny dialer kisha ita pop menyu uta click view kisha shuka chini na uangalia " recondishioned status" ikisoma" No" basi simu yako ni original/brandnew ila ikisoma yes basi ni refurbished
Njia ya pili ya kucheki incase njia ya kwanza imegoma ,nenda playstore kisha download app inaitwa phone info itakua yakwanza kabisa...download na install kisha ifungue na upande wa kishoto kwa juu uta click kisha chagua refurbishment check kisha uta skip na utapata majibu ya simu yako
#kuna watu wanauziwa simu kwa bei ya brandnew kumbe ni refurbished,hii itawasaidia wengi..wakati wa manunuzi
Jana rafik yangu kauziwa s7 kwa 700 kuchek ni refurbished..alitakiwa auziwe kwa 500 had 550 kwa bei ya kibongo bongo..
#hizi sio kwamba hazifai sana..noo kibongo bongo ndio zetu,mimi nishamilik refurbished kama mbili na kazikuwahi kunisumbua... ila ni vzur tukizijua zaidi.
WALE WA IPHONE
1. fungua Settings.
2. Shuka chini na fungua General.
3. Gusa About.
4. Shuka chini hadi "Model"
5. Angalia herufi ya kwanza ya model yako
"M" au "P", inamaana iphone yko ni mpya,,,wakati "N" au "F" ni refurbished
View attachment 849382
Sent from my SM-G920P using Tapatalk