Jifunze kuwakimbia watu wanaopenda kulaumulaumu na malalamiko: Watakuambukiza

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Malalamiko na lawama yanamatokeo Hasi Sana Kwa wanayoyapenda .

Yanaathari kubwa Kwa uchumi,afya ya kimwili na kiakili.
Ndio maana Kuna nchi Moja Scandinavia Kuna Sheria inayopinga kulalamikia vitu ambavyo havibadilishiki. (it is illegal to complain). Hasa kulalamikia baridi Kali.

Wabongo wengi hii tabia inatuhusu. Mwananchi nalalamika,kiongozi analalamika, mchungaji analalamika kwenye altare, waumini wanalalamika Hadi kwenye maombi.


Jifunze kuwakwepa, kuwaepuka watu wa namna hii. Watakuambukiza. Ni Bora huo Muda uutumie kusoma kitabu.


Kumbuka.

Kilichosababisha wana wa Israel mamilioni wasifike safari yao ni
Ulalmishi.
Manung'uniko.
Na lawama.

Fanyia kazi hii itakuongezea kitu maishani.


Muebrania
Mitale na midimu
 
Mi nilimkimbia rafiki yangu mmoja hivi kila siku yeye kulalamika tu,ana shida yeye tu ,ana matatizo yeye,hana hela yeye tu nikawa hadi napatwa stress nikiona akinipigia au kutaka onana nae nilipunguza ukaribu sasa nna amani
Napenda rafiki wa kunipa raha nicheke nifurahie sio shida tu na matatizo wakati hata mi nna yangu nna rafiki yangu nikionana nae nasahau kila kitu nakuwa na furaha mno nampenda mno
 
Mi nilimkimbia rafiki yangu mmoja hivi kila siku yeye kulalamika tu,ana shida yeye tu ,ana matatizo yeye,hana hela yeye tu nikawa hadi napatwa stress nikiona akinipigia au kutaka onana nae nilipunguza ukaribu sasa nna amani
Napenda rafiki wa kunipa raha nicheke nifurahie sio shida tu na matatizo wakati hata mi nna yangu nna rafiki yangu nikionana nae nasahau kila kitu nakuwa na furaha mno nampenda mno
Huyo mtu mkwepe atakuambukiza.
Neno linasema...

Tembea na wenye hekima nawe utakuwa na hekima.
 
Hii michezo wanayo boda boda ukishapanda tu lazima ataanzisha mada ya kulalamika utaskia 'yaani huyu mama sijui anatupeleka wapi,umeme tabu maji tabu' nikishaonaga boda kaanza vimada hvyo huwa najifanya kupokea simu ili asiendelee na malalamiko
 
Hii michezo wanayo boda boda ukishapanda tu lazima ataanzisha mada ya kulalamika utaskia 'yaani huyu mama sijui anatupeleka wapi,umeme tabu maji tabu' nikishaonaga boda kaanza vimada hvyo huwa najifanya kupokea simu ili asiendelee na malalamiko
Au unambadilishia story.
Malalamiko na manung'uniko yananyonya nguvu na kuua morali za maisha.
 
Mi nilimkimbia rafiki yangu mmoja hivi kila siku yeye kulalamika tu,ana shida yeye tu ,ana matatizo yeye,hana hela yeye tu nikawa hadi napatwa stress nikiona akinipigia au kutaka onana nae nilipunguza ukaribu sasa nna amani
Napenda rafiki wa kunipa raha nicheke nifurahie sio shida tu na matatizo wakati hata mi nna yangu nna rafiki yangu nikionana nae nasahau kila kitu nakuwa na furaha mno nampenda mno
Hawa Mara nyingi wanakuaga mental unhealth. Kulaumu watu wengine kwenye kila jambo ni tatizo la kisaiokolojia. Usimtenge, apelekwe hospitali atibiwe
 
Ulalamishi mara nyingi unaendana na uvivu, mimi mtu wa kulalamika huwa nakaa naye mbali kabisa, siku zote huwa nafocus kwenye solutions, kama jambo naona haliwezekani au linanipotezea muda naachana nalo na sio kulalamika tu.
Haya ndio maisha.
Nilikuwa kwenye kashule flani kijijini. Walimu wakifika wanakaa kijiwe wanaanza kulalamikia kuanzia ngazi ya mwalimu mkuu Hadi rais.
Vipindi hawaingii maana hawajajua matokeo ya malalamiko ni energy dispersion. Wanakuwa hawana morali na hamu na kazi.

Ni ngumu maana ndivyo tulivyokuzwa lakini Mimi unaweza kuona nakuangalia natabasamu kumbe sikungalii na sikusikilizi.
 
Malalamiko na lawama yanamatokeo Hasi Sana Kwa wanayoyapenda .

Yanaathari kubwa Kwa uchumi,afya ya kimwili na kiakili.
Ndio maana Kuna nchi Moja Scandinavia Kuna Sheria inayopinga kulalamikia vitu ambavyo havibadilishiki. (it is illegal to complain). Hasa kulalamikia baridi Kali.

Wabongo wengi hii tabia inatuhusu. Mwananchi nalalamika,kiongozi analalamika, mchungaji analalamika kwenye altare, waumini wanalalamika Hadi kwenye maombi.


Jifunze kuwakwepa, kuwaepuka watu wa namna hii. Watakuambukiza. Ni Bora huo Muda uutumie kusoma kitabu.


Kumbuka.

Kilichosababisha wana wa Israel mamilioni wasifike safari yao ni
Ulalmishi.
Manung'uniko.
Na lawama.

Fanyia kazi hii itakuongezea kitu maishani.


Muebrania
Mitale na midimu
Watu wenye negative attitude ni hatari, na hiyo negative inaambukiza kwa kasi
 
Malalamiko na lawama yanamatokeo Hasi Sana Kwa wanayoyapenda .

Yanaathari kubwa Kwa uchumi,afya ya kimwili na kiakili.
Ndio maana Kuna nchi Moja Scandinavia Kuna Sheria inayopinga kulalamikia vitu ambavyo havibadilishiki. (it is illegal to complain). Hasa kulalamikia baridi Kali.

Wabongo wengi hii tabia inatuhusu. Mwananchi nalalamika,kiongozi analalamika, mchungaji analalamika kwenye altare, waumini wanalalamika Hadi kwenye maombi.


Jifunze kuwakwepa, kuwaepuka watu wa namna hii. Watakuambukiza. Ni Bora huo Muda uutumie kusoma kitabu.


Kumbuka.

Kilichosababisha wana wa Israel mamilioni wasifike safari yao ni
Ulalmishi.
Manung'uniko.
Na lawama.

Fanyia kazi hii itakuongezea kitu maishani.


Muebrania
Mitale na midimu
Hiyo inchi ndiyo ya kuishi mkuu
 
Ccm wameshika nchi kwa zaidi ya miaka 50, Chadema imazaliwa 1992 na haijawai hata kuwa na mkuu wa Mkoa ila Ccm wanailaumu chadema kwa Kuchelewa sha maendeleo nchini na watu wanakubali kuwa"ndiyo, wanachelewesha maendeleo".
 
Ccm wameshika nchi kwa zaidi ya miaka 50, Chadema imazaliwa 1992 na haijawai hata kuwa na mkuu wa Mkoa ila Ccm wanailaumu chadema kwa Kuchelewa sha maendeleo nchini na watu wanakubali kuwa"ndiyo, wanachelewesha maendeleo".
Ukishabikia siasa za bongo bila tahadhari. Unaweza kujikuta ni mlalamikaji mkuu wa taifa.
Unless isiwe chanzo chako Cha mapato.
 
Back
Top Bottom