bologna
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 1,489
- 1,426
Haram ni kile unachokitapika tu. Vingine vyote ni halali.Acheni Kucheza kamali ni haram... ligi za ulaya hawafungani? Acha real Madrid huwajui wewe au Maccabi Haifa
View attachment 513026
Haram ni kile unachokitapika tu. Vingine vyote ni halali.Acheni Kucheza kamali ni haram... ligi za ulaya hawafungani? Acha real Madrid huwajui wewe au Maccabi Haifa
View attachment 513026
Hahahaha umenikumbusha mbali sana mkuu msemo wako wazee wa copy and paste au vitonga au wazee wa kuteleza au barafu. Chuoni sie tukiwa class ilikua mtu mmoja akifanya assignment ndo kila mtu anai copy iyo iyo na marks zinakuja sawa darasa zima utofauti unakuja kwenye Test tu.Uwe unatoa predictions zako..sisi tuwe tunacopy na kupaste
Thanks for info... Appreciated kwa sana mkuu...
Hii link mbona nashindwa kujiunga?
Kwanin mkuuhuu mwaka nisipopata 10m million naeza kujiua
Yaani nafosi kuuelewa huu mchezo kisa kuna swala la pesa lakini wapihuu mwaka nisipopata 10m million naeza kujiua
mkuu natafta mtaji ni kama elf 20 ntakua nacheza basketball na volleyball kila siku nataka niingize hata 50kKwanin mkuu
Mkuu saiz nna tafta mtaj n ni sh 20k ningekua namda ningekufundishaYaani nafosi kuuelewa huu mchezo kisa kuna swala la pesa lakini wapi
Hebu nipe mwanga wa wewe kuifikia hiyo 10m