Akhy D
JF-Expert Member
- Jun 10, 2013
- 361
- 419
Kuna dada mmoja alikua antoka kazini mida Kama saa nne na nusu usiku, ghafla njiani akakutana na vijana wanne wa kiume wakampiga makofi na kutaka kumbaka.
Yule dada kuona vile ikabid ajiteteee.
dada: jamani mnataka kufanya nini..?
kijana 1: nyamaza wewe msh***
kijana2: uanjifanya hujui tunataka nini kwako.
kijana3: (huku akimchapa kofi) kelele wewe ukiongeza neno nakuchinja.
dada: ( kwa upole) basi vaeni hata kondom mana Mimi ni mwathirika.
wale vijana kusikia hivo ny*** zikawaisha, wakapotea kila mmoja na njia yake na kumuacha Yule dada... Akiwa salamaa
Yule dada kuona vile ikabid ajiteteee.
dada: jamani mnataka kufanya nini..?
kijana 1: nyamaza wewe msh***
kijana2: uanjifanya hujui tunataka nini kwako.
kijana3: (huku akimchapa kofi) kelele wewe ukiongeza neno nakuchinja.
dada: ( kwa upole) basi vaeni hata kondom mana Mimi ni mwathirika.
wale vijana kusikia hivo ny*** zikawaisha, wakapotea kila mmoja na njia yake na kumuacha Yule dada... Akiwa salamaa