Jifunze kitu hapa.....

Akhy D

JF-Expert Member
Jun 10, 2013
361
419
Kuna dada mmoja alikua antoka kazini mida Kama saa nne na nusu usiku, ghafla njiani akakutana na vijana wanne wa kiume wakampiga makofi na kutaka kumbaka.
Yule dada kuona vile ikabid ajiteteee.
dada: jamani mnataka kufanya nini..?
kijana 1: nyamaza wewe msh***
kijana2: uanjifanya hujui tunataka nini kwako.
kijana3: (huku akimchapa kofi) kelele wewe ukiongeza neno nakuchinja.
dada: ( kwa upole) basi vaeni hata kondom mana Mimi ni mwathirika.
wale vijana kusikia hivo ny*** zikawaisha, wakapotea kila mmoja na njia yake na kumuacha Yule dada... Akiwa salamaa
 
Mimi nilimpata mpenzi huko Muleba akaniambia ni mwathirika. kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nilifanya naye mapenzi kwa kondom bao 3 hadi leo anataka tuendelee kuwa wapenzi jnsi alivyofurahia sex tuliyoifanya that night. Yeye ni mjita yuko Musoma mimi niko Mbeya ila nimeoa siwezi kumhitaji tena. Alikuwa bomba sana na nimemkumbuka sana nahsi namhitaji tena.
 
Mimi nilimpata mpenzi huko Muleba akaniambia ni mwathirika. kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nilifanya naye mapenzi kwa kondom bao 3 hadi leo anataka tuendelee kuwa wapenzi jnsi alivyofurahia sex tuliyoifanya that night. Yeye ni mjita yuko Musoma mimi niko Mbeya ila nimeoa siwezi kumhitaji tena. Alikuwa bomba sana na nimemkumbuka sana nahsi namhitaji tena.
hongera kwa kukumbuka kifanyio ila Kama umeshaoa basi Kua muaminifu katika ndoa yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom