Jifunze Kinyakyusa hapa

Habari za wakati huu wadau !
Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa.

Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya kuishi mkoa wa mbeya au katika mazingira ambayo pengine yametufanya kushindwa kuweza kuizungumza lugha yetu hii ya asili na adimu sana.

Ukiwa kama mdau wa lugha hii, unaweza kutusaidia ambao hatujapata bahati wa kuifahamu kwa kutuandikia hapa baadhi ya maneno na maana zake.

Pia, kwa yule anayetamani kujua hii lugha ataweza kuuliza anachotamani kukijua na wadau wataweza kuwajibu hapa.

Nawakaribisha sana ndugu zangu.
Hakina faida yyte
 
Wabongo tunasafari ndefu ndio maana tunafeli mambo mengi kwa sababu ya kutokuwa makini mtu ametoa maoni watu wajifunze lugha wengine wanaleta ujingaujinga tutafika kweli?
 
Si
Wabongo tunasafari ndefu ndio maana tunafeli mambo mengi kwa sababu ya kutokuwa makini mtu ametoa maoni watu wajifunze lugha wengine wanaleta ujingaujinga tutafika kweli?
Si ndo hapo. Heading tu inatosha kumfanya mtu ajue kilichomo ndani, ila bado kaingia ndani kujua kilichomo. Hajaishia japo, anaamua kutoa maoni hasi.
 
Na kwa nini lugha ya kinyakyusa naona ina "h" nyingi sana yaani karibu kile neno utakuta lina "h" katikati ?.
Kwangu ni swali gumu na swali jepesi pia.

Kila kabila lina herufi ambayo haikosekani katika matamshi jifanyie utafiti.


Kwanini ili KUJITOFAUTISHA.

SINA ZAIDI.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom