TukuyuHicho ni kinyakyusa cha wapi mkuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TukuyuHicho ni kinyakyusa cha wapi mkuu ?
Tukuyu
Hakina faida yyteHabari za wakati huu wadau !
Natambua uwepo wa watu wenye asili ya kabila maarufu pale mkoani mbeya yaani Wanyakyusa.
Kutokana na mihangaiko ya maisha wengi wetu tumejikuta tumekosa fursa ya kuishi mkoa wa mbeya au katika mazingira ambayo pengine yametufanya kushindwa kuweza kuizungumza lugha yetu hii ya asili na adimu sana.
Ukiwa kama mdau wa lugha hii, unaweza kutusaidia ambao hatujapata bahati wa kuifahamu kwa kutuandikia hapa baadhi ya maneno na maana zake.
Pia, kwa yule anayetamani kujua hii lugha ataweza kuuliza anachotamani kukijua na wadau wataweza kuwajibu hapa.
Nawakaribisha sana ndugu zangu.
Kaka kwani umelazimishwa kuja kucomment hapa ?Hakina faida yyte
Si ndo hapo. Heading tu inatosha kumfanya mtu ajue kilichomo ndani, ila bado kaingia ndani kujua kilichomo. Hajaishia japo, anaamua kutoa maoni hasi.Wabongo tunasafari ndefu ndio maana tunafeli mambo mengi kwa sababu ya kutokuwa makini mtu ametoa maoni watu wajifunze lugha wengine wanaleta ujingaujinga tutafika kweli?
Salim aleko?Mliwakafu ?
Hayati Baba wa Taifa alisema ukabila utumike kwenye matambiko huko kwenu
Mkuu maana yake nini hapaImbolo yazama kumani...
Mwanawani ndo nini?Ulembwike mwanawani
Mliwakafu ?
Sawa mkuu. Natumaini kupata darasa kutoka kwako.Jifunze matamshi ya ( bha) ghwa (jhwa) gha UNYAKYUSA UTAUJUA KIMATASHI.
Sawa mkuu. Natumaini kupata darasa kutoka kwako.
Na kwa nini lugha ya kinyakyusa naona ina "h" nyingi sana yaani karibu kile neno utakuta lina "h" katikati ?.Mliwakafu ×××
Mlibhakafu√√√
Mko powa
Mu wazima
Kwangu ni swali gumu na swali jepesi pia.Na kwa nini lugha ya kinyakyusa naona ina "h" nyingi sana yaani karibu kile neno utakuta lina "h" katikati ?.
Na hatusemi "Mumbili" tunasema "Mwimbili" banaWanyakyusa hawajui kusema Muhimbili...wanasema MUMBILI..