English Kona
Member
- Feb 24, 2019
- 21
- 75
Unapoanza kujifunza kiingereza unatakiwa ujue baadhi ya kanuni muhimu ya lugha hii . Kanuni hizo utazijua baada ya kujifunza grammar .
Grammar itakusaidia kutunga sentensi zako kwa usahihi na pia itakufanya uweze kumudu kiingereza cha kuongea na kuandika .
Katika uzi huu tutafundishana simple grammar ambayo unatakuwa kuifahamu unapokuwa unajifunza lugha ya kiingereza.
Basic English grammar lessons ;
1. Nouns
2. Pronouns
3. Verbs
4. Adjectives
5. Adverbs
6. Articles
7. Conjuction
8. Tenses
9. Speech
10. Punctuation
11. Preposition ....n.k
Katika somo letu la leo utajifunza kitu cha kwanza kabisa katika grammar ambacho kinaitwa NOUN .
NOUN - ni neno ambalo linataja majina ya watu, vitu , mahali au wazo . Hivyo kwa kifupi " nouns " ni majina .
Kwa mfano :
Asha , Zena , Nasra , John , Anna , president , teacher , pilot , dog , cat , dog , cow , elephant , Dar es salaam, Tanzania , Italy , Uganda , hapiness , truth , danger .
1. KANUNI KATIKA MAJINA YA WATU NA MAHALI .
=>Katika uandishi majina ya watu huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : John , Abdul , Alex ...... Na sio john , abdul , alex .
=>Pia majina ya mahali huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : Tanzania , Uganda , Dodoma , Mwanza , Mtwara , Nairobi , South Africa ........ Na sio tanzania , uganda , dodoma , mwanza .
2. KANUNI KATIKA MAJINA MENGINE
=>Majina mengine kama ya wanyama , vitu n.k . Huwa tunaanza na herufi kubwa endapo tu ikiwa mwanzo wa sentensi tu , ila ikiwa katikati hatuanzi na herufi kubwa .
=>Kikawaida majina haya huanza na kiashairia (article) kwanza kama A , An na The .
MFANO :
A doctor , the car , an umbrella , a train , a book , the boss , a house , a bus ,..n.k
( Somo la mbele nitakufundisha jinsi ya kutumia hivyo viashiria au articles )
MIFANO YA NOUN KATIKA SENTENSI
1. Juma likes reading books .
- Juma anapenda kusoma vitabu .
2. Asha wants to become a doctor
- Asha anataka kuwa daktari .
3. Yesterday I bought a new smartphone .
- Jana nilinunua simu janja mpya .
4. We have a cat in our home .
- Tuna paka nyumbani kwetu .
5. Asha lives in Tanzania .
- Asha anaishi Tanzania
Uzi huu unaendelea utakuwa unasasishwa ( updates )
Pia tumeanzisha channel ya YouTube , Channel yetu ni mpya bado haijapata subscribers wengi. Tafadhali subscribe channel yetu ili iweze kukua tuzidi kujifunza zaidi.
>>>SUBSCRIBE<<<
Grammar itakusaidia kutunga sentensi zako kwa usahihi na pia itakufanya uweze kumudu kiingereza cha kuongea na kuandika .
Katika uzi huu tutafundishana simple grammar ambayo unatakuwa kuifahamu unapokuwa unajifunza lugha ya kiingereza.
Basic English grammar lessons ;
1. Nouns
2. Pronouns
3. Verbs
4. Adjectives
5. Adverbs
6. Articles
7. Conjuction
8. Tenses
9. Speech
10. Punctuation
11. Preposition ....n.k
Katika somo letu la leo utajifunza kitu cha kwanza kabisa katika grammar ambacho kinaitwa NOUN .
NOUN - ni neno ambalo linataja majina ya watu, vitu , mahali au wazo . Hivyo kwa kifupi " nouns " ni majina .
Kwa mfano :
Asha , Zena , Nasra , John , Anna , president , teacher , pilot , dog , cat , dog , cow , elephant , Dar es salaam, Tanzania , Italy , Uganda , hapiness , truth , danger .
1. KANUNI KATIKA MAJINA YA WATU NA MAHALI .
=>Katika uandishi majina ya watu huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : John , Abdul , Alex ...... Na sio john , abdul , alex .
=>Pia majina ya mahali huwa tunaanza kwa herufi kubwa , kama hivi : Tanzania , Uganda , Dodoma , Mwanza , Mtwara , Nairobi , South Africa ........ Na sio tanzania , uganda , dodoma , mwanza .
2. KANUNI KATIKA MAJINA MENGINE
=>Majina mengine kama ya wanyama , vitu n.k . Huwa tunaanza na herufi kubwa endapo tu ikiwa mwanzo wa sentensi tu , ila ikiwa katikati hatuanzi na herufi kubwa .
=>Kikawaida majina haya huanza na kiashairia (article) kwanza kama A , An na The .
MFANO :
A doctor , the car , an umbrella , a train , a book , the boss , a house , a bus ,..n.k
( Somo la mbele nitakufundisha jinsi ya kutumia hivyo viashiria au articles )
MIFANO YA NOUN KATIKA SENTENSI
1. Juma likes reading books .
- Juma anapenda kusoma vitabu .
2. Asha wants to become a doctor
- Asha anataka kuwa daktari .
3. Yesterday I bought a new smartphone .
- Jana nilinunua simu janja mpya .
4. We have a cat in our home .
- Tuna paka nyumbani kwetu .
5. Asha lives in Tanzania .
- Asha anaishi Tanzania
Uzi huu unaendelea utakuwa unasasishwa ( updates )
Pia tumeanzisha channel ya YouTube , Channel yetu ni mpya bado haijapata subscribers wengi. Tafadhali subscribe channel yetu ili iweze kukua tuzidi kujifunza zaidi.
>>>SUBSCRIBE<<<