English Kona
Member
- Feb 24, 2019
- 21
- 75
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima. Leo ni siku nyingine tena tumekutana kupeana mawili matatu katika lugha ya kiingereza.
Siku ya leo tutajifunza jinsi ya kutumia SHOULD, COULD na WOULD.
Watu wengi wanaojifunza lugha ya kiingereza inakuwa ngumu kwao kuweza kutofautisha na kutumia maneno haya ( SHOULD, COULD & WOULD ) kwa ufasaha.
Kama na wewe ni miongoni wa watu wanaoshindwa kutumia maneno haya kwa ufasaha , basi nimekuekea video ya somo hilo. Video hiyo ni ya dakika 3 tu, ndani ya muda huo utaweza kuyatumia maneno hayo kwa ufasaha.
Tafadhali usisahau KU- SUBSCRIBE channel yetu.
SUBSCRIBE =>https://m.youtube.com/channel/UC-lRMLqXJ_1cfZINILPYgjg
Kama kuna sehemu hujapaelewa, tafadhali uliza ili ueleweshwe.
Siku ya leo tutajifunza jinsi ya kutumia SHOULD, COULD na WOULD.
Watu wengi wanaojifunza lugha ya kiingereza inakuwa ngumu kwao kuweza kutofautisha na kutumia maneno haya ( SHOULD, COULD & WOULD ) kwa ufasaha.
Kama na wewe ni miongoni wa watu wanaoshindwa kutumia maneno haya kwa ufasaha , basi nimekuekea video ya somo hilo. Video hiyo ni ya dakika 3 tu, ndani ya muda huo utaweza kuyatumia maneno hayo kwa ufasaha.
Tafadhali usisahau KU- SUBSCRIBE channel yetu.
SUBSCRIBE =>https://m.youtube.com/channel/UC-lRMLqXJ_1cfZINILPYgjg
Kama kuna sehemu hujapaelewa, tafadhali uliza ili ueleweshwe.