sosssy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 668
- 534
Write your reply...Dah tatizo lazima me ntamla tuu...
Aisee mkuu hio kwa kwel hata kwa upande wangu ni changamoto!! kumla lazima
Write your reply...Dah tatizo lazima me ntamla tuu...
Nyie wa mama wakorofi,kwa hiyo asiangalie TV?Wala usiendelee kwasababu huna unalojua na sijui unazungumzia maisha ya wapi...?
Unasahau huyu msichana unamuachia nyumba pamoja na mali zako zote including watoto wako awatunze wakati wewe ukiwa haupo. Hata chakula unachokula wewe na watoto ni yeye anapika..!! Sasa kama akili zake haziko sawa utamuamini vipi? Huyo jirani wa kumuangalia unamtoa wapi ambae yeye hana shughuli zake kazi ni kuja kukulindia nyumba yako?
Kwa kifupi we inaonekana hujawahi kuwa na msichana wa kazi maana hayo yote uliyoshauri mtu akiyafanya msichana ataondoka haraka sana au atakua hafanyi kazi yoyote anashinda kwenye tv..
Nadharia wapi we ni mkorofi na watakusumbua sana,house girl ni mwanamke na binadu km we,au unafikiri hana kikude ?Tatizo ww unaongea kinadharia na wkt wenzio sisi tuna uzoefu.
Ukitaka msichana akutoroke basi mzoeshe kwa jirani. Ni bora zaidi awe wa ndani ya geti tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yako huyu nilienae huu ni mwaka wa nne sasa yuko hapa na wala hajawahi kutamani kuondoka.Nadharia wapi we ni mkorofi na watakusumbua sana,house girl ni mwanamke na binadu km we,au unafikiri hana kikude ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa kbs, huyu anaongea kinadharia tu.Wala usiendelee kwasababu huna unalojua na sijui unazungumzia maisha ya wapi...?
Unasahau huyu msichana unamuachia nyumba pamoja na mali zako zote including watoto wako awatunze wakati wewe ukiwa haupo. Hata chakula unachokula wewe na watoto ni yeye anapika..!! Sasa kama akili zake haziko sawa utamuamini vipi? Huyo jirani wa kumuangalia unamtoa wapi ambae yeye hana shughuli zake kazi ni kuja kukulindia nyumba yako?
Kwa kifupi we inaonekana hujawahi kuwa na msichana wa kazi maana hayo yote uliyoshauri mtu akiyafanya msichana ataondoka haraka sana au atakua hafanyi kazi yoyote anashinda kwenye tv..
Aisee mkuu hio kwa kwel hata kwa upande wangu ni changamoto!! kumla lazima
haha hata sielewi kwa nini!!!Aisee mkuu hio kwa kwel hata kwa upande wangu ni changamoto!! kumla lazima