Jifunze jinsi ya Kukaa na house girl mda mrefu

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
1.mlipe pesa zaidi ya anachokitaka wengi wao wanataka 30000-40000 sasa wewe mpe 50000-100000 itategemea na uwezo wako.
2.chagua binti ambaye akili yake haijatimia 100%,hapa tuelewana ,chagua binti ambaye anazo akili anajitambua ila kwa mbali hamnazo,.
3.mnunulie simu pia hakikisha sinema zetu azam TV inapatikana mda wote.
4.jitahidi uwe na jirani mwema ambaye anakuwa karibu nae kukitokea shida kidogo atakujulisha.
5.wale wenye watoto jitahidi sana mambo mengi jirani yako awe anashiriki kufuatilia,hapa Mkono wako uwe wa kutoa ili jirani apate nguvu.
Kwa wale wanawake wenye visa hawawezi kamwe wanawatuma mabinti hadi kutupa pedi.

Nitaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.mlipe pesa zaidi ya anachokitaka wengi wao wanataka 30000-40000 sasa wewe mpe 50000-100000 itategemea na uwezo wako.
2.chagua binti ambaye akili yake haijatimia 100%,hapa tuelewana ,chagua binti ambaye anazo akili anajitambua ila kwa mbali hamnazo,.
3.mnunulie simu pia hakikisha sinema zetu azam TV inapatikana mda wote.
4.jitahidi uwe na jirani mwema ambaye anakuwa karibu nae kukitokea shida kidogo atakujulisha.
5.wale wenye watoto jitahidi sana mambo mengi jirani yako awe anashiriki kufuatilia,hapa Mkono wako uwe wa kutoa ili jirani apate nguvu.

Nitaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeki tatu wa siku hizi wanachohitaji ni Zaidi ya fedha ukiwa nae jitahidi sana kumleta mdogo wako wa kiume akae hapo kwako ambae wataendana hapo ata usipomlipa mshahara hawezi kutoka

CC Zero IQ
 
1.mlipe pesa zaidi ya anachokitaka wengi wao wanataka 30000-40000 sasa wewe mpe 50000-100000 itategemea na uwezo wako.
2.chagua binti ambaye akili yake haijatimia 100%,hapa tuelewana ,chagua binti ambaye anazo akili anajitambua ila kwa mbali hamnazo,.
3.mnunulie simu pia hakikisha sinema zetu azam TV inapatikana mda wote.
4.jitahidi uwe na jirani mwema ambaye anakuwa karibu nae kukitokea shida kidogo atakujulisha.
5.wale wenye watoto jitahidi sana mambo mengi jirani yako awe anashiriki kufuatilia,hapa Mkono wako uwe wa kutoa ili jirani apate nguvu.
Kwa wale wanawake wenye visa hawawezi kamwe wanawatuma mabinti hadi kutupa pedi.

Nitaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan uchukue Mtu ambae dishi limeyumba akae na MTOTO? HAYA waponze wenzio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna house girl mmoja nakumbuka aliambiwa na mama mwenye Nyumba akachemshe maji kwenye jagi la umeme, kwa nini asilibandike kwenye jiko la umeme??:D afu lilikuwa lile la plastic la mchina. Likayeyukia kwenye plate.
 
Kuna house girl mmoja nakumbuka aliambiwa na mama mwenye Nyumba akachemshe maji kwenye jagi la umeme, kwa nini asilibandike kwenye jiko la umeme??:D afu lilikuwa lile la plastic la mchina. Likayeyukia kwenye plate.
Sio kweli ,lakini hata ilo likitokea ni kawaida cz hata we ni mshamba kwenye mambo mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine tutafikiri, unawafunda kina mama na kina baba nini cha kufanya kuacha kuajiri ma-house girls?! Ndiyo mkuu, maisha magumu, kwa sasa hakuna cha houseboy wala housegirl, baba usafi nje, magari na kazi zote ngumu home, hata kupika, kufua, usafi ndani n.k.
Mama pia, hasa kufua, malezi kwa watoto na n.k. Kifupi baba na mama wachukuwe hatamu kwenye maboma yao, yawezekana, inawezekana..Tubane matumizi...
 
Unazungumzia maisha ya USWAZI.
HIVI huko ushuani huyo Jirani utampata wapi?
1.mlipe pesa zaidi ya anachokitaka wengi wao wanataka 30000-40000 sasa wewe mpe 50000-100000 itategemea na uwezo wako.
2.chagua binti ambaye akili yake haijatimia 100%,hapa tuelewana ,chagua binti ambaye anazo akili anajitambua ila kwa mbali hamnazo,.
3.mnunulie simu pia hakikisha sinema zetu azam TV inapatikana mda wote.
4.jitahidi uwe na jirani mwema ambaye anakuwa karibu nae kukitokea shida kidogo atakujulisha.
5.wale wenye watoto jitahidi sana mambo mengi jirani yako awe anashiriki kufuatilia,hapa Mkono wako uwe wa kutoa ili jirani apate nguvu.
Kwa wale wanawake wenye visa hawawezi kamwe wanawatuma mabinti hadi kutupa pedi.

Nitaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo namba 5!
Hv unawajua majirani ww? Tena ni bora awe anashinda peke yake na watoto kuliko kufanya mazoea na jirani ili eti incase of anything asaidie.
Hakuna watu wabaya na waharibifu wa wasichana wa kazi km majirani, wanakuwaga na vimaneno vya ajabu ajabu hd msichana anakubadilikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.mlipe pesa zaidi ya anachokitaka wengi wao wanataka 30000-40000 sasa wewe mpe 50000-100000 itategemea na uwezo wako.
2.chagua binti ambaye akili yake haijatimia 100%,hapa tuelewana ,chagua binti ambaye anazo akili anajitambua ila kwa mbali hamnazo,.
3.mnunulie simu pia hakikisha sinema zetu azam TV inapatikana mda wote.
4.jitahidi uwe na jirani mwema ambaye anakuwa karibu nae kukitokea shida kidogo atakujulisha.
5.wale wenye watoto jitahidi sana mambo mengi jirani yako awe anashiriki kufuatilia,hapa Mkono wako uwe wa kutoa ili jirani apate nguvu.
Kwa wale wanawake wenye visa hawawezi kamwe wanawatuma mabinti hadi kutupa pedi.

Nitaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala usiendelee kwasababu huna unalojua na sijui unazungumzia maisha ya wapi...?
Unasahau huyu msichana unamuachia nyumba pamoja na mali zako zote including watoto wako awatunze wakati wewe ukiwa haupo. Hata chakula unachokula wewe na watoto ni yeye anapika..!! Sasa kama akili zake haziko sawa utamuamini vipi? Huyo jirani wa kumuangalia unamtoa wapi ambae yeye hana shughuli zake kazi ni kuja kukulindia nyumba yako?
Kwa kifupi we inaonekana hujawahi kuwa na msichana wa kazi maana hayo yote uliyoshauri mtu akiyafanya msichana ataondoka haraka sana au atakua hafanyi kazi yoyote anashinda kwenye tv..
 
Back
Top Bottom