Matumizi ya kokwa za embe kubana uke

images%2B%25285%2529.jpg

(ngoja niseme maana wanaume wengine wanaona aibu kusema)

Ukweli ni kwamba uke uliolegea hupunguza ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume wengi

Tatizo la uke kulegea au kutepeta ni tatizo linalotokana na kulegea kwa misuli ya uke, hali hii husababisha Uke kulegea au wanaita Kutepeta(unanipata bibieee!!!!!)

Mara nyingi wanaume waliooa wake au kuwa na wapenzi ambao wana matatizo ya uke uliolegea au kutepeta hua mara nyingi inatokea wanapoteza hamu ya kufanya mapenzi na hao wake zao au wapenzi wao au hata mwanaume kushindwa kumudu vyema tendo hilo kwa maana ya kutokuweza kurudia bao la pili ikiwa atajitahidi kumaliza kushusha bao la kwanza na kujikuta mzuka wooooooooote umekwisha

SABABU ZA UKE KULEGEA AU KUTEPWETA

Baadhi ya sababu zinazopelekea misuli ya uke kulegea na kusababisha mwanamke kua na uke uliolegea au kutepeta nazo ni hizi zifuatazo;

(a) Magonjwa ya uke

(b) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara

(c) Kujifungua

(d) Usagaji

DAWA YA UKE ULIOLEGEA AU KUTEPWETA

Chukua kokwa za embe za kutosha zianike juani mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini

MATUMIZI

Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku

Fanya zoezi hilo kila siku mpaka bibi awe mnatoooo

ZINGATIA

Uke utaanza kubana siku ya tatu tu mara baada ya kuanza kutumia dawa.

Ukipenda SHARE wengine pia wapate faida hii
Madhara endapo mtuhumiwa ataoverdoze kuziba kwa uke.
 
Na kinachotafutwa raha yake ni sekunde tu imeisha.

Mtasumbuka sana na hayo maumbile mnataka kushindana na mlipotoka.
Mtaiunga mpaka kwa giligilani mwisho mtasema ni mboga inafaa kwa ugali.

Mnajisumbua tu
 
Kwanza wanawake wote wamelegea cku hizi maana wanaanza kutumika mapema zaidi.

Mtoto wa kike anaanza kupigwa mashine kwanzia miaka 10 hadi 9 sasa mpaka muda wa kuolewa unafika unakuta ana wanaume zaidi ya 150 wameshaingiza vikojoleo vyao..

Sasa akianza kutumia dawa ili kubane cjui kunabanaje wakati kunatumika kupita kiasi.

Nafikiri kuna umuhimu wa serikali kubuni starehe zingine na kuhakikisha wananchi wanapewa elimu ili matumizi ya sambusa za akina Dada yapungue.
Wamepewa puree wacha wakitumie!!!
Afu utupisheee!!! Wengine hatujalegea
 
Wamepewa puree wacha wakitumie!!!
Afu utupisheee!!! Wengine hatujalegea
Nenda kwenye kioo kaangalie vizuri,kabla ya kufanya hivyo hakikisha umenawa usoni kwa maji mengi.

Naamini utagundua mengi tena ya kutisha sana kwenye hiyo sambusa yako.
 
Kuna stori ya mdada inasambaa... Alikua anaipika papuchi kuridhisha mwanaume mwisho wa siku akawaua bacteria walindao uke na kupata infection isiopona kwa dawa yoyote ile. Na huwezi warudisha tena wale bacteria. Saivi yuko na maumivu makali na hatarini kupata kansa.

Wadada wenzangu!!! Msiweke chochote huko eti kubana papuchi, utajisababishia uozo na matatizo mengine na mwanaume ulietaka kumridhisha atakukimbia! Uke ubane, usibane, haiwazuii kuchepuka.

Kama imelegea sana fanya mazoezi ya kegel... Yanabana papuchi unakua mnato haswaa!
Kama sijaielewa hii science yako hivi, unamaanisha kwamba normal flora walikufa na hawakurudi tena???

Skuhizi kweli kila mtu Doctor.
 
Kama sijaielewa hii science yako hivi, unamaanisha kwamba normal flora walikufa na hawakurudi tena???

Skuhizi kweli kila mtu Doctor.
Huitaji kusomea udaktari kujua haya mkuu! Madaktari washafanya kazi yao wametuachia na sisi tusome.

Uke una bacteria wazuri!!! Wanalinda ili kusipate infections... Hutakiwi ata kuingiza sabuni huko ndani.... Maji safi yanatosha kusafisha.
Mavitu wanayoweka wadada sikuizi yanaua hao bacteria na kuacha uke bila ulinzi.
 
Huitaji kusomea udaktari kujua haya mkuu! Madaktari washafanya kazi yao wametuachia na sisi tusome.

Uke una bacteria wazuri!!! Wanalinda ili kusipate infections... Hutakiwi ata kuingiza sabuni huko ndani.... Maji safi yanatosha kusafisha.
Mavitu wanayoweka wadada sikuizi yanaua hao bacteria na kuacha uke bila ulinzi.
Najua na hayo mkuu na hao Bacteria ndo wanaitwa normal flora ila huwezi niambia wakifa hawarudi, normal flora they always comeback naturally no matter what, unless mtu awe amekufa.

Ila vitu wanavyoweka naungana na wewe kwamba sio safe.
 
Huitaji kusomea udaktari kujua haya mkuu! Madaktari washafanya kazi yao wametuachia na sisi tusome.

Uke una bacteria wazuri!!! Wanalinda ili kusipate infections... Hutakiwi ata kuingiza sabuni huko ndani.... Maji safi yanatosha kusafisha.
Mavitu wanayoweka wadada sikuizi yanaua hao bacteria na kuacha uke bila ulinzi.
Hii ni kweli kabisaa for sure
 
Najua na hayo mkuu na hao Bacteria ndo wanaitwa normal flora ila huwezi niambia wakifa hawarudi, normal flora they always comeback naturally no matter what, unless mtu awe amekufa.

Ila vitu wanavyoweka naungana na wewe kwamba sio safe.
Ooh! Ila kwenye kesi ya huyo mdada madaktari walimwambia hali imekua tete yaani hawarudi kabisa, option ilikua atolewe kizazi
 
  • Thanks
Reactions: 247

Similar Discussions

Back
Top Bottom