Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Ulipoagiza hiyo simu hukulipa chochote?? Nje ya gharama ya simu na shipping costs??Unaposema MTU ajiande kulipia kodi mzigo wake ukifika sija kupata fresh
Ni kwa baadhi ya items au?
Maana nimeagiza simu na nimeipata trh 28/09/2020 yaani free kabisa bila tozo yoyote
Embu tolea ufafanuzi