Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Unaposema MTU ajiande kulipia kodi mzigo wake ukifika sija kupata fresh

Ni kwa baadhi ya items au?

Maana nimeagiza simu na nimeipata trh 28/09/2020 yaani free kabisa bila tozo yoyote

Embu tolea ufafanuzi
Ulipoagiza hiyo simu hukulipa chochote?? Nje ya gharama ya simu na shipping costs??
 
Naomba ufafanuzi juu ya hili nashindwa kuagiza mzigo e bay kutokana na huu ujumbe unasema shiping address niiupdate.
Screenshot_20201004-134553.jpg
 
hivi ukitaka simu za iphone na samsung pamoja na laptop za Hp ni application gan nzur kununua yaaan wa coast ya kawaida kati ya aliexpress,ebay,amazon, kama kuna nyingine unayojua na nzur niambie
 
Jaman kwa sie tulioko nje ya Dar, Hivi mzigo ukionekana umefika dar na kukaa zaidi ya wiki mbili bila kuupata huku mkoani, ni wapi pa kuulizia taarifa zake tofauti na hizi office za posta wilayani ambapo ukienda kuuliza jibu ni moju tu kwamba "mzigo hujafika"
 
Hivi mzigo ukionekana umefika dar na kukaa zaidi ya wiki mbili bila kuupata huku mkoani, ni wapi pa kuulizia taarifa zake tofauti na hizi office za posta wilayani
"tofauti na hizi office za posta wilayani"
Hakuna.
Hivi mzigo ukionekana umefika dar na kukaa zaidi ya wiki mbili bila kuupata huku mkoani, ni wapi pa kuulizia taarifa zake
Mahala ulipofungulia sanduku lako la posta ndio unapaswa kufika kwa msaada zaidi.

Wape tracking number ya mzigo wako, wape maelezo au print out kuonyesha mzigo ulipofikia.
- Watawajibika kupiga simu dar es salaam HQ ili kushughurikia mzigo wako.
- Hakikisha unasubiria hapo hapo posta hadi upate jibu la kueleweka kuhusu mzigo wako.
 
Mimi toka mei 5 mpaka sasa sijapata mzigo nikipiga simu namba za posta hawapokei kabisa..nikumuuliza muuzaji anasema wasiliana na wakala wako.. hapo nifanyaje wazee?
Duh I see,leo mimi nimepokea vifurushi ambavyo niliagiza mwezi wa tatu,nilishakata tamaa kabisa. Hii paseli zilishafika wakati ule wa corona maana kila niki-track naona vyote vipo Dsm bado vichache nasubiria tena
 
Mwl rct nahitaji. Kioo cha ipad ai 2 model 1567 naomba unipe bbei kila kitu adi bongo sitak uniagizie
 
Alibaba nimeona dollar23
Uko sahihi, alibaba waweza kuta wamekuandikia hata $15 ila tambua kuwa
- Bei unayoiona sio bei halisi utakayolipia.
- Bei unayo iona haina shipping cost
- Bei halisi itatokana na express shipment utakayotajiwa

Mfano
- Item utakuta imeandikwa US $15, ila kusafirisha ukaambiwa $120, Tafakari kwa kuangalia mfano hai hapa: Alibaba online mnazingua
- Pitia michango ya wadau

Je nini cha kufanya
#1. Angalia bei halisi ya item husika amazon.com, ebay.com na aliexpress.com
#2. Chagua muuzaji ambaye bei yake itakuwa ni nafuu ukilinganisha na wauzaji wengine
#3. Kisha nipe link yake.
 

Mkuu wangu,
I THINK this's not ONE MAN WAR....na ndio maana nika-propose ku-file online petition. Wakiona response ni kubwa( yaani petition kuwa signed na watu wengi); hopeful wanaweza ku-work na mapupungufu yanayozuia Paypal; Tanzanian accounts kutokuwa na uwezo wa kuwa na fedha! Hebu pitia hapa chini moja ya jibu ambalo waliwahi kunipatia year 2011 wakati nilipotaka my Paypal account iwe na uwezo si tu wa kutuma; bali pia kupokea:

Hello NasDaz, my name is Aivie from PayPal Customer Service. I'm here to assist you with receiving funds to your PayPal account.

To comply with local laws and financial regulations, PayPal is currently unable to offer this option. On the bright side, were constantly working towards expanding our service to include this feature since it would be beneficial for both of us to offer this to you. We are doing our best to make this feature available in the near future.
When additional features are made available youll be the first to know. All updated information regarding country capabilities to send and receive funds is on our website. Check it out by visitinghttps://www.paypal.com and clicking Worldwide" at the bottom.
Thank you for your interest in PayPal, one of the safest ways to send money in the world.

Sincerely,
Aivie
PayPal, an eBay Company

So, ukiangalia hapo kwenye RED, utagundua ni kama panahitajika COLLECTIVE EFFORTS....it sounds as if mkono wa serikali unahitajika vilevile. What I mean ni kwamba; assume Ministry of Trade or any responsible ministry ikaja umuhimu wa watu kuangalia namna nyingine ya kufanya biashara; in particular hii ya kutumia mitandao kama Ebay; kumbe wao wanaweza kuwaandikia Paypal kuomba hiyo feature. Na kwavile ni direct request kutoka serikalini; am very convinced kwamba Paypal wanaweza kufanyia kazi kirahisi zaidi; by the way, hizo local laws and financial regulations wao watu wa serikalini ndio wahusika! Binafsi niliwahi kukutana na mshikaji mmoja wa serikalini; kwa bahati mbaya, pamoja na kwamba bado ana mawazo kale lakini vile vile hana influence ingawaje kikwazo nilichokiona kutoka kwake ni yale mawazo kale/perception. Lakini kama mtu unakutana na watu wenye mawazo ya kisasa kama akina Membe/Makamba/Lazaro, then ni very possible!! Hata hivyo, ikishindikana kupitia mgongo wa serikali, alternative ni hiyo ya ku-sign online petition ambayo I thinkk haiwezi kuwa as much effective way as through the government.
petition ilifikia wapi mkuu? it has been a while
 
Naomba ufafanuzi juu ya hili nashindwa kuagiza mzigo e bay kutokana na huu ujumbe unasema shiping address niiupdate.View attachment 1590212
Unatakiwa ufungue shipping address ya Marekani kutoka websites zinasofanya hiyo kazi then hizo websites ndo unawapa shipping address ya bongo hao sellers wautume kwny hiyo shipping address ya Marekani then hayo makampuni yakutumie Bongo
 
Ukitaka kupata bidhaa ambazo huwa zinakuwa na shipping cost moja kwa moja tumia Amazon kwa sababu ndyo digital online marketing site ambayo inaaminika duniani kwa sasa na pia huwa wanajumuisha na import fee
Screenshot_20201130-193704.jpg
 
Uko sahihi, alibaba waweza kuta wamekuandikia hata $15 ila tambua kuwa
  • Bei unayoiona sio bei halisi utakayolipia.
  • Bei unayo iona haina shipping cost
  • Bei halisi itatokana na express shipment utakayotajiwa

Mfano
  • Item utakuta imeandikwa US $15, ila kusafirisha ukaambiwa $120, Tafakari kwa kuangalia mfano hai hapa: Alibaba online mnazingua
  • Pitia michango ya wadau

Je nini cha kufanya
#1. Angalia bei halisi ya item husika amazon.com, ebay.com na aliexpress.com
#2. Chagua muuzaji ambaye bei yake itakuwa ni nafuu ukilinganisha na wauzaji wengine
#3. Kisha nipe link yake.
Je alibaba wanaweza kuship kwa Po box yangu kama aliexpress? Na km ndio vp kuhusu tracking information?
 
Back
Top Bottom