Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Ndiyo mkuu, Maana kuna kitu nijaribu kununua nikaona option ya kutoka kwa muuzaji mwenyewe bila kupitia hzo shipping agents
Kifupi sijawahi ila unaweza kununua cha muhimu hakikisha Unalipia kupitia PayPal.
Wengine waliowahi kununua from factory watakuja kutoa uzoefu wao hapa
 
Leo siku ya tatu mzigo umeingia ni simu lakini naambiwa custom wapo nao na siambiwi chochote cha kufanya...je nifanye nini kwa wazoefu kwa hatua hii?
mimi ni hivyo hivyo leo nikaenda posta wameniambia jana na juzi hawakuwa na network ila jumatatu wanafanyia kazi jumanne itakua tayari.
 
network tu
Screenshot_2019-08-03-20-36-34-071_com.alibaba.aliexpresshd.jpeg
 
Baadhi ya seller wanakuwa out of stock yaani bidhaa husika inakuwa imesha hivyo wa nasubiri waletewe nyingine ndo wakutumie au wakati mwingine wa azembea tu.
Fungua dispute ndugu, seller atakuja kujiongeza mbele kwa mbele
Shukrani kaka. Wacha nifungue dispute.
 
mimi ni hivyo hivyo leo nikaenda posta wameniambia jana na juzi hawakuwa na network ila jumatatu wanafanyia kazi jumanne itakua tayari.
Yaweza kuwa kweli network ina shida maana hata mimi natumiaga hii
41.59.86.101/Tracking/IPSWeb_submit_aspx.htm

kwa ajili ya kutrack item zangu hapa TZ lakini toka juzi haikubali, na hii ndiyo inaonyeshaga kama mzigo umeshaingia Tz.
 
Yes Anwani ya Binafsi,Taasisi au Hata ya kazini zote zinafaa.
Kama ndio mara ya kwanza Jisajiri Aliexpress kwa kujaza detail zako muhimu then anza kuagiza.
Ila kila unapoagiza kumbuka kuchagua Courrier kama ifuatavyo:-

View attachment 1171194na

1.kama utachagua hao niliozungushia rangi nyekundu kama watawahisha mzigo wako utapokea ndani ya siku 30 na wakichelewesha utasubiri hadi siku 90 au zaidi.
Ni mara chache sana ndio unaweza kuwahi.

2.Hapo kwenye Blue wakiwahi ni siku 23 ila hawatabiriki inaweza ikachukua mwezi na siku kadhaa.

3.Orange hiyo ndio standard shipping ila wakati mwingine inaweza Ikaandikwa Singapore post, hao ndio wakombozi wetu maana mzigo unafika ndani ya siku 23 na ukichelewa sana ni wiki 5 ila wakati mwingine inatokea mzigo unaingia ndani ya siku 12.
NB. Gharama za shipping inategemea alivyopanga Seller
Kk me nilishafunguaga account uko na nishaagiza mizigo kadhaaa naweza badili icho kipengele cha msafirishaji
 
Mimi nilinunua wireless headphone ninesubiri zaidi ya siku 60 kwa singapore post
Ndio nimepata leo
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom