Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,564
- 2,126
Hadumini mkuu( Microscope) Ilikuwa eBay, muuazaji alikuwa wa China, naona kila niiingia siteyake item removed, Ndo eBay wakasema nisubilie mpka 22/08/2019 ndo nifungue kesi,umeagiza lini na Shipping gani ulitumia?
Sie tunaagiza Aliexpress na kuchagua Standard Shipping au Singapore post ili mzigo ufike haraka ndani ya wiki 3