Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Salama wakuu
Nataka kufanya malipo ya kununua machine alibaba seller nataka nimlipe kupitia PayPal payment ni kama $4500
Sasa nauliza kutoka CRDB Kwenda PayPal kuna makato yoyote kama yapo ni asilimia ngapi?
Nataka nifanye malipo leo
 
Salama wakuu
Nataka kufanya malipo ya kununua machine alibaba seller nataka nimlipe kupitia PayPal payment ni kama $4500
Sasa nauliza kutoka CRDB Kwenda PayPal kuna makato yoyote kama yapo ni asilimia ngapi?
Nataka nifanye malipo leo
Hakuna malipo CRDB watakayokucharge bali kuna conversion/ rate toka Tsh to Dollar
 
Tracking number zinazoanziwa na LAO mara huwa na namba pamoja na herufi 17 mfano LAODD1008098114XX, Na kwa system ya posta yetu tracking number zinaingizwa kwenye system ni 13 tu mfano UX293510578CN. kwa hivyo mzigo wako ukifika nchini kinachofanywa ni kuuwekea track number nyingine, na ni ngumu kufahamu hiyo tracking number mpya.
hivyo ni vema uwe unatembelea posta kuangalia kama kuna mzigo wako
Nimefanikiwa nimepasa sms kutoka posta kuwa parcel imefika
 
Nilinunua visaa viwili kwa siku moja na zilifika nchini siku moja zote lakini nimefika posta nimepata parcel ya saa moja tu wazoefu wa kununua online tatizo linaweza kuwa posta? Mimi niko mkoani
 
Nilinunua visaa viwili kwa siku moja na zilifika nchini siku moja zote lakini nimefika posta nimepata parcel ya saa moja tu wazoefu wa kununua online tatizo linaweza kuwa posta? Mimi niko mkoani
Ulizia hapo posts ulipochukua parcel inawezekana wamesahau hiyo ya Pili,Mimi ilitokea hivyo wiki moja iliyopita,kumbe yule anayechapisha vile vikaratasi vya kupokelea mzigo alisahau ikabidi akichape muda huo huo na nikapewa mzigo wangu,na ilikuwa posta ya mkoani
 
Nilinunua visaa viwili kwa siku moja na zilifika nchini siku moja zote lakini nimefika posta nimepata parcel ya saa moja tu wazoefu wa kununua online tatizo linaweza kuwa posta? Mimi niko mkoani
Naomba kujua posta walikucharge shiling ngapi?
 
Posta wanachukua bei gani..?
Ulizia hapo posts ulipochukua parcel inawezekana wamesahau hiyo ya Pili,Mimi ilitokea hivyo wiki moja iliyopita,kumbe yule anayechapisha vile vikaratasi vya kupokelea mzigo alisahau ikabidi akichape muda huo huo na nikapewa mzigo wangu,na ilikuwa posta ya mkoani
 
Nmekwamia hapo
Nataka kutumia mpesa master card sielewi nachagua wapi apo!
Screenshot_2019-07-02-00-00-10.jpeg
 
Back
Top Bottom