Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,629
Hayo ni makato ya exchange rates mkuu.Refound imeridi kk kwanza nashukuru sana broo
Ila naona wamekata kama 12% ivi
Hayo ni makato ya exchange rates mkuu.Refound imeridi kk kwanza nashukuru sana broo
Ila naona wamekata kama 12% ivi
Ahaaa okHayo ni makato ya exchange rates mkuu.
brother mimi nataka niagize kitu utanisaidiaje brother please alafu sijui chochote kuhusu hiyo processNimepokea mzigo wangu baada ya kwenda posta. Ila hawa watu Wa posta wana kauzembe fulani.
Hawako makini kwa maana kuna jamaa nimemkuta nikamwambia aniangalizie mzigo huo, akaangalia-angalia akasema kati ya mizigo iliyopo hakuna mzigo wa international. Nikamwonyesha tracking informations akasema nimsubiri Post master, yeye akaniuliza kama nimeshapigiwa Simu nikamwambia bado akaangalia angalia akasema mbona sioni kitu kama hicho nikakata tamaa ghafla akaniomba kitambulisho moyoni nikasema yap! Basi akanipa fomu kupokea mzigo nikajaza akanikabidhi mzigo. Nawashukuru walionishauri kwenda posta.
Sasa swali ni kwamba Kwa nini hawa jamaa wapokee mzigokisha wanakaa nao kimya?View attachment 1106391
kaka upoSimu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.
Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.
Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.
Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.
JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
brother kuna kitu nataka kutoka uko kwa wenye akili nataka cover ya simu yangu ambayo naipenda sana yaaniNipo
Nunua kwa kampuni moja kwa mojaNaomba kuuliza kama kuna duka online ambalo unawaza nunua vitu kama pc na uka ignor garama kama za window na microsoft office pc ikaja yenyewe kama ilivo
Sasa apo bro ndo pana utata kuhusu kuagiza mzigo kutoka kwenye kampuni yenyewe c inafika kama inavokuja mizigo ya ebay na allexpressNunua kwa kampuni moja kwa moja
Na inapitia postaNunua kwa kampuni moja kwa moja
Utapatà update mzigo ukifika mkoanimsaada
mimi ni mgeni wa kuagiza bidhaa online nimejaribu na nimetrack bidhaa mara ya mwisho nimepata information hii
LAO, (The item has been processed in the country of destination) je hapa kama niko mkoani siwezi kuutrack tena na nitajuaje kama umefika mkoa nilioko.?
Tracking number zinazoanziwa na LAO mara huwa na namba pamoja na herufi 17 mfano LAODD1008098114XX, Na kwa system ya posta yetu tracking number zinaingizwa kwenye system ni 13 tu mfano UX293510578CN. kwa hivyo mzigo wako ukifika nchini kinachofanywa ni kuuwekea track number nyingine, na ni ngumu kufahamu hiyo tracking number mpya.msaada
mimi ni mgeni wa kuagiza bidhaa online nimejaribu na nimetrack bidhaa mara ya mwisho nimepata information hii
LAO, (The item has been processed in the country of destination) je hapa kama niko mkoani siwezi kuutrack tena na nitajuaje kama umefika mkoa nilioko.?
Asante kwa ufafanuzi mzuri.Tracking number zinazoanziwa na LAO mara huwa na namba pamoja na herufi 17 mfano LAODD1008098114XX, Na kwa system ya posta yetu tracking number zinaingizwa kwenye system ni 13 tu mfano UX293510578CN. kwa hivyo mzigo wako ukifika nchini kinachofanywa ni kuuwekea track number nyingine, na ni ngumu kufahamu hiyo tracking number mpya.
hivyo ni vema uwe unatembelea posta kuangalia kama kuna mzigo wako
mkuu naomba mwongozo je nikishakuwa na m pesa master card nanunua moja kwa moja au lazima nijiunge na pay palHatimaye na mimi nimefanikiwa kununua bidhaa mtandaoni
Ni kutoka aliexpress kwa mpesa Mastercard na posta nimetozwa elfu 2 tu bidhaa ya laki 1