Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Mimi niliagiza mfuniko wa sumu yangu tangu tarehe 25/2/2019 na estimated delivery date was 21/4/2019 nikachek naona wanasema mpk 10/5/2019 nikachek tena nakuta wame expand muda mpaka 25 mwezi huu 5 na nikiangalia ndege haijatua na nilitumia shipping ya Singapore
Itakuwa ulitumia unregistered mail, sababu Singapore post registered huwa haichukui zaidi ya wiki tatu mzigo kufika nchini.
 
Mimi mzigo nilioagiza seller alisema bidhaa ni mbovu atarefund haraka nikancel order.Nilicancel order hela ikaingia kwenye Mpesa Mastercard yangu moja kwa moja.Nadhani sasa hivi Aliexpress wako vizuri wakati wa kurefund.
Me yangu inaonekana tayari lakini cjatumiwa kwenye account ila imeniandikia refound complete
 
Equity hadi uwasiliane na huduma kwa wateja ndio watairudisha pesa kwenye account yako.
Wamenambia paka niwe na email inayo onyesha kua umeshapokea refound ne me iyo mail cjatumiwa ila refuond status inaonekana complete toka tarehe 10
 
Nilifanya muamala ebay na mzigo haujatumwa paka dead line ilipofika nikafungua return case lakini mpaka sasa cjaona update ya aina yeyote ss cjajua ndo nimeshazulumiwa au vp
 
Haya mambo ya online purchase yanahitaji umakini mkubwa sana, lazima uwe mfuatiluaji haswaa!
Nilifanya muamala ebay na mzigo haujatumwa paka dead line ilipofika nikafungua return case lakini mpaka sasa cjaona update ya aina yeyote ss cjajua ndo nimeshazulumiwa au vp
 
Wamenambia paka niwe na email inayo onyesha kua umeshapokea refound ne me iyo mail cjatumiwa ila refuond status inaonekana complete toka tarehe 10
Kama ulifanya transaction kwa paypall na paypall wameonyesha refund imeshatumwa kwenye A/C yako ya Equity nenda tawi lililokaribu nawe la Equity utapewa form utajaza...baada ya siku saba za kazi pesa itaingia..
 
Nimeangalia hamna
Huwa wanatuma email kama hii kwenye attachment, pia pale kwenye refund detail kuna hayo maelezo.
Screenshot_2019-05-21-11-59-52.jpeg
 
HALOTEL, VISA WAUNGANA KUWEZESHA MALIPO KWA NJIA YA SIMU

Naibu Mkurugenzi wa kampuni ya Halotel, Nguyen Tien Dung akiongea na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya HALOPESA VISA ON MOBILE katika makao makuu ya Ofisi za Halotel Dar es salaam. Huduma hiyo itawawezesha wateja wote wa Halopesa kuweza kulipia bidhaa, au kufanya miamala ya kifedha kupitia Visa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Visa Nchini Tanzania Olive Njoroge, kulia ni Mkuu wa kitengo cha Halopesa Magesa Wandwi.

Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya Visa kupitia simu zao.
Ushirikiano kati ya kampuni hizo utawezesha watumiaji wa Halopesa kutumia huduma ya Visa kwenye simu zao kwa kufanya malipo ya bidhaa na kuweka pesa na kutoa kwa mawakala wa huduma ya Visa.
Takwimu kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) iliyotoa mwaka 2018 inasema kuwa Halopesa ni huduma ya malipo kwa njia ya simu inayokua kwa kasi sana hapa Tanzania.
Idadi ya wateja waliojisajili kwa huduma ya Halopesa imeongezeka kwa kiasi cha asilimia 71.76 katika kipindi cha mwaka 2018. Kampuni ilifunga mwaka 2017 ikiwa na jumla watumiaji wa Halopesa wapatao 780,000. Idadi hiyo imeongezeka kwa kiasi kikubwa hadi kufikia jumla ya watumiaji milioni 1.3 mwishoni mwa mwaka 2018.
“Kwa ukuaji mkubwa wa idadi ya wateja wa Halotel na kuwa ni mtandao wa simu unaokua kwa haraka hapa Tanzania tangu tuanze kutoa huduma hapa nchini, tuna imani kwamba idadi ya watumiaji wa Halopesa pia itaendelea kuongezeka,” amesema Naibu Mkurugenzi wa Halotel, Nguyen Tien Dung.
Bw. Dung amesema kuwa kwa sasa Halopesa ina zaidi ya mawakala 40,000 na kwamba nguvu ya huduma ya Visa inaipa Halopesa thamani na uwezo zaidi wa kuwezesha wateja kufanya manunuzi kwa njia ya Visa kupitia simu zao.
“Kupitia ushirikiano huu, Halopesa itawapa wateja kulipa kwa muuzaji kwa kutumia msimbo (code) iliyoko kwenye huduma ya Visa kwenye simu zao. Huduma hii ya Visa katika simu huwezesha wateja kupata fedha zao moja kwa moja kutoka katika akaunti zao za benki kupitia simu zao na kulipia bidhaa kwa wauzaji, kutuma pesa bila gharama yoyote, kuweka pesa au kutoa pesa kupitia wakala yeyote wa huduma ya Visa,” amesema na kuhitimisha Bw. Son.
Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Visa nchini Tanzania Olive Njoroge, ameelezea kuwa ushirikiano huo unalenga zaidi katika kuunganisha Watanzania kwenye huduma ya Visa na kuleta usalama wa fedha zao kufanya malipo fanisi kwa huduma na bidhaa.
‘Tunafarijika kwa ushirikiano huu kati yetu na kampuni muhimu ya huduma za mawasiliano ya simu kama Halotel. Ushirikiano wetu na Halotel utawafanya Watanzania kulipa kwa kutumia Visa katika simu zao kupitia zaidi ya wachuuzi wapya 40,000. Pia itawasaidia kupanuka kwa wigo wa Watanzania wanaotumia huduma za kifedha hapa nchini,” amesema Bi. Njoroge.
Kupitia huduma ya Visa, muuzaji atapewa msimbo (QR code) pamoja na namba maalum ya wakala ambayo mteja ambaye simu yake ina huduma ya Visa ataitumia kwa ajili ya malipo kupitia simu yake.
Ushirikiano huu unadhihirisha nia ya dhati ya VISA kutanua wigo wa malipo kupitia Huduma za kifedha kwa njia ya simu Ulimwenguni kote.
 
Kama ulifanya transaction kwa paypall na paypall wameonyesha refund imeshatumwa kwenye A/C yako ya Equity nenda tawi lililokaribu nawe la Equity utapewa form utajaza...baada ya siku saba za kazi pesa itaingia..
All express hua inatumika all pay nanilishaenda equity nikajaza form
 
Samahan wadau nauliza kuagiza vitu kama TV kwa mtandao ni safe,vp zinafika nchini salama pia nataka kujua kama posta wanasafirisha mzigo kama tv
 
Hapo fanya kuwasumbua equity wanakuwaga wazembe sanaaa, usipofatilia hawajisumbui
Naona bora kutumia M-PESA mastercard kwa ajili ya malipo ya mtandaoni maana hata kama kuna refund unaipata moja kwa moja kwenye kadi yako na unaweza kuhamishia hiyo hela kwenda M-PESA moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom