Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

K sawa wanakua hucker or matapeli
Matapeli + Hacker

Mfano hai.
- Kuna miamala 17 ilifanyika ebay/paypal kupitia account yangu, bila idhini yangu.
- Nikawasiliana na paypal , nikawapa taarifa, wakafanya uchunguzi juu ya hio miamala na fedha yote ikarudishwa.
1080033

Sehemu ya attachment nikitoa taarifa bank warudishe fedha kwenye account yangu baada ya paypal kurudisha.

Hivyo kuwa makini na EBAY, ni salama ila sio salama pia.
 
Matapeli + Hacker

Mfano hai.
- Kuna miamala 17 ilifanyika ebay/paypal kupitia account yangu, bila idhini yangu.
- Nikawasiliana na paypal , nikawapa taarifa, wakafanya uchunguzi juu ya hio miamala na fedha yote ikarudishwa.
View attachment 1080033
Sehemu ya attachment nikitoa taarifa bank warudishe fedha kwenye account yangu baada ya paypal kurudisha.

Hivyo kuwa makini na EBAY, ni salama ila sio salama pia.
Mmh so poa ivo unawezaje jua iii ni ya kwali au ya uwongo
 
kwali au ya uwongo
#1. Inatakiwa uwe unajua bei halisi ya bidhaa husika huwa ina range kati ya US $ ngapi hadi ngapi.

#2. Tumia site kama AMAZON kuangalia bei halisi ya bidhaa husika then , linganisha na bei iliyowekwa EBAY

#3. Hakikisha unachagua bidhaa toka kwa Top Rated sellers , huwa wamewekewa logo kabisa
1080439


#4. Hapo hapo ebay angalia bidhaa hiyo hiyo kwa seller wengine, kisha linganisha na huyo seller husika.
1081226
 
Shukran sana kiongozi naisi utakua umenisaidia sana maana hibi v2 vilikua vinanichanganya sana
 
#1. Inatakiwa uwe unajua bei halisi ya bidhaa husika huwa ina range kati ya US $ ngapi hadi ngapi.

#2. Tumia site kama AMAZON kuangalia bei halisi ya bidhaa husika then , linganisha na bei iliyowekwa EBAY

#3. Hakikisha unachagua bidhaa toka kwa Top Rated sellers , huwa wamewekewa logo kabisa
View attachment 1080439

#4. Hapo hapo ebay angalia bidhaa hiyo hiyo kwa seller wengine, kisha linganisha na huyo seller husika.
View attachment 1081226
Vp kwa wale unakuta wamewekewa nyota tatu mpka 4
 
Naona eBay vitu bei juu sana
Nimejaribu kutafuta huawei p20 lite hei haipungui laki tisa , hapo bado kodi wakati hapa bongo zinauzwa hadi laki 7
 
Nimeshanunua vitu vingi Ebay na AliExpress lakini mbona Ebay kuna seller wengi wanakataa kutuma mizigo kwenye address zenye P.O.Box sasa sijuia bila box number unaweza kutumiwa mizigo kwa njia ipi.
 
binafsi nimefanya manunuzi ya online lakini ni deezer account , Netflix na kununua application za simu tu online , pia nimeunganisha account yangu paypal na VISA lakini sijawai kutumia paypal kufanya manunuzi , swali linakuja paypal wanaruhusu kutuma pesa tu kwa tanzania sio kupokea je inakuwaje transaction iki fail pesa yako inarudi vipi kwenye paypal kama hawaruhusu kupokea pesa.
 
binafsi nimefanya manunuzi ya online lakini ni deezer account , Netflix na kununua application za simu tu online , pia nimeunganisha account yangu paypal na VISA lakini sijawai kutumia paypal kufanya manunuzi , swali linakuja paypal wanaruhusu kutuma pesa tu kwa tanzania sio kupokea je inakuwaje transaction iki fail pesa yako inarudi vipi kwenye paypal kama hawaruhusu kupokea pesa.

Unaweza tu kupokea refund through PayPal. Hela itarudi kwenye card ukiyotumia kufanya malipo. Kitu ambacho hakiwezekani ni kile kitendo cha kulipwa pesa moja kwa moja kupitia PayPal account ya TZ.
 
Nimeshanunua vitu vingi Ebay na AliExpress lakini mbona Ebay kuna seller wengi wanakataa kutuma mizigo kwenye address zenye P.O.Box sasa sijuia bila box number unaweza kutumiwa mizigo kwa njia ipi.

Hapo unatakiwa uanze kuandika physical address halafu P.O.Box ndio iwe address ya pili.
 
Sasa physical address nitapataje mzigo na unajua sisi hatuna namba za nyumba na mitaa kama huko nje.

Hapo address ya pili ndio ujaze P.O.Box Mzigo utafika kwenye ofisi ya posta ya wilaya ulipo.
Mfano:
Mr. Mobile Msauziy
Mlimwa Hills - Amani Health Centre,
41115,
P.O.Box 1010,
MOB: 0759110633
Dodoma, Tanzania.
 
Hatimaye na mimi nimefanikiwa kununua bidhaa mtandaoni
Ni kutoka aliexpress kwa mpesa Mastercard na posta nimetozwa elfu 2 tu bidhaa ya laki 1
 
Mm eBay nachukuaga sana mizigo
Na bidhaa nyingi nauza humu jf

mkuu chief-mkwawa mm natumia box la chuo hivo silipiagi kitu chochote zaidi ya ile shiping fee iliyoandikwa na muuzaji

Kama alivyo sema chief-mkwawa inabidi kuangalia repitation ya seller

Maana mm kama mnakumbuka nilianzisha thread ya "hivi eBay ni genuine market place" sababu niliona iPhone 5 $14.99 na Mac book mpya $24.99
seller alikuwa wa china na akuwa na positive feedback hata moja
Baada ya dakika na baada ya mm kufanya payment nikaambiwa kwa email, item removed

Namshukuru Mungu nili open case nakikawa refunded lkn hadi leo hii refund sijawahi kuiona kwenye Bank statement naliamua chuna tu

HOPE YOU WILL LEARN FROM WHAT HAPPENED TO ME
Me niliagiza cm all express processing time ikawa ndefu sana nikaamua kukancell order nikaambiawa refound ni ndani ya ck 15 unaamaana iyo ela cita ipata tena
 
Me niliagiza cm all express processing time ikawa ndefu sana nikaamua kukancell order nikaambiawa refound ni ndani ya ck 15 unaamaana iyo ela cita ipata tena
Mimi mzigo nilioagiza seller alisema bidhaa ni mbovu atarefund haraka nikancel order.Nilicancel order hela ikaingia kwenye Mpesa Mastercard yangu moja kwa moja.Nadhani sasa hivi Aliexpress wako vizuri wakati wa kurefund.
 
Mimi nimeagiza kupitia kwa mtu mwenye ujuzi wa kununua online cover ya oppo a3s kwa elfu kumi na saba ila nzuri sana nimetokea kuipenda sana, Nasubiria kufikia mwezi wa sita naweza kuwa nayo mkononi.
 
Tatizo la ebay vitu vingi ukijaribu kununua unaambiwa the seller does not ship to your country halafu naona bei zao ziko juu kidogo
 
Mimi niliagiza mfuniko wa sumu yangu tangu tarehe 25/2/2019 na estimated delivery date was 21/4/2019 nikachek naona wanasema mpk 10/5/2019 nikachek tena nakuta wame expand muda mpaka 25 mwezi huu 5 na nikiangalia ndege haijatua na nilitumia shipping ya Singapore
 
Back
Top Bottom