Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia na chagua zile tu zenye neno Unlocked"without simlock" sasa hapa ndio panapo nipa ugumu bado sielewi wana maana gani?
Shukrani mkuu.Angalia na chagua zile tu zenye neno Unlocked
Je ni msaada gani unao hitaji?
Fanya tafiti ya mahala ulipo, Je ni nini kinahitajika zaidi.Afu naombeni msaada biashara gan toka nnje inaenda haraka apa bongo na nkiagza mzgo kwa njia ya post naletewa ad nlipo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko activated? Ina fedha? Kama huna uhakika nenda nmb ujiridhishe kwanza ili tujue pa kuanziaNdugu zangu na mimi nahtaji msaada hapo jins ya kulink card paypal wanaikataa card yangu ya NMB MASTERCARD nifanye nn au nitmie card gan
Pw kaka ila naomb japo nqmba yko unsaidie ndg yang 0719330344Iko activated? Ina fedha? Kama huna uhakika nenda nmb ujiridhishe kwanza ili tujue pa kuanzia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ni PM kama unahitaji msaada wowotePw kaka ila naomb japo nqmba yko unsaidie ndg yang 0719330344
Ni kweli PayPal huwezi kupokea hela ukiwa tz??1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.
2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.
3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza
very easy
Itarudishwa huko hukoNaomba msaada kwa hili. Je kama nilitumia M-pesa MasterCard kununua bidhaa kule AliExpress na bidhaa haikufika, je naweza kurudishiwa fedha zangu kupitia M-pesa MasterCard? Maana niliona maelezo yao yakisema fedha itarudishwa kupitia kadi iliyotumika kufanya manunuzi. Msaada please.
1. Inatakiwa ujue ni kwanini account yako imefungiwa.Kuna uwezako wa ku unlocked akaunti ebay..maana ya kwangu imefungiwa
Kwa EBAY usipoteze muda kwa bidhaa zisizo na uhalisia wa bei.Naomba kuuliza wana kama kunamatapeli uku ebay maana nimekuta pc inauzwa bei ambayo hata aiendani na pc yenyewe naomba kuuliza kama .so matepeli kweli awa
K sawa kumve wanakua ni matapeli eeeKwa EBAY usipoteze muda kwa bidhaa zisizo na uhalisia wa bei.
Kwa EBAY usipoteze muda kwa bidhaa zisizo na uhalisia wa bei.