Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

habari, mara nyingi nikitaka kununua simu ebay napata ugumu kwa sababu simu nyingi zimeandikwa "without simlock" sasa hapa ndio panapo nipa ugumu bado sielewi wana maana gani?
 
Ndugu zangu na mimi nahtaji msaada hapo jins ya kulink card paypal wanaikataa card yangu ya NMB MASTERCARD nifanye nn au nitmie card gan
 
1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.

2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.

3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza

very easy
Ni kweli PayPal huwezi kupokea hela ukiwa tz??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msaada kwa hili. Je kama nilitumia M-pesa MasterCard kununua bidhaa kule AliExpress na bidhaa haikufika, je naweza kurudishiwa fedha zangu kupitia M-pesa MasterCard? Maana niliona maelezo yao yakisema fedha itarudishwa kupitia kadi iliyotumika kufanya manunuzi. Msaada please.
 

Attachments

  • Screenshot_20190402-210719.png
    Screenshot_20190402-210719.png
    21.9 KB · Views: 59
Naomba msaada kwa hili. Je kama nilitumia M-pesa MasterCard kununua bidhaa kule AliExpress na bidhaa haikufika, je naweza kurudishiwa fedha zangu kupitia M-pesa MasterCard? Maana niliona maelezo yao yakisema fedha itarudishwa kupitia kadi iliyotumika kufanya manunuzi. Msaada please.
Itarudishwa huko huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uwezako wa ku unlocked akaunti ebay..maana ya kwangu imefungiwa
1. Inatakiwa ujue ni kwanini account yako imefungiwa.

2. Huwa inatokea account kufungiwa iwapo ulishinda BID kadhaa na zote hukulipia hivyo seller wakakuripoti, na hupelekea account yako kufungwa. - Ufumbuzi katika hili ni
- Tengeneza email mpya
- Na ujisajiri upya.
 
Naomba kuuliza wana kama kunamatapeli uku ebay maana nimekuta pc inauzwa bei ambayo hata aiendani na pc yenyewe naomba kuuliza kama .so matepeli kweli awa
 
Naomba kuuliza wana kama kunamatapeli uku ebay maana nimekuta pc inauzwa bei ambayo hata aiendani na pc yenyewe naomba kuuliza kama .so matepeli kweli awa
Kwa EBAY usipoteze muda kwa bidhaa zisizo na uhalisia wa bei.
 
65 Reactions
Reply
Back
Top Bottom