Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

IMG_0947.JPG
 
HABARI NJEMA KWA WAKUU
BancABC kwa kushirikiana na MasterCard, wamezindua huduma mpya iitwayo M-Pesa-Mastercard ni ya kwanza na ya kipekee Tanzania itakayomuwezesha mteja wa M-Pesa kuweza kulipia huduma na bidhaa mitandaoni katika tovuti mbali mbali Duniani zinazopekea malipo kwa MasterCard. Kupata huduma hii ya Virtual Card piga *150*00# chagua lipa kwa M-Pesa, chagua M-Pesa MasterCard, kutengeneza kadi yako. Utapata Card Number, Expiration date pamoja na CVV Number ndani ya sekunde chache tu!
usalama wa account yangu utakuwaje.?? Jesus inaweza Leta shida
 
Samahani wadau ni wapi pazuri na pa uhakika kufanyia manunuzi kati ya haya masoko mawili?
1. Ebay
2. Alibaba
 
pazuri na pa uhakika
Amazon
- Ni bora zaidi.
- Hakuna ubabaishaji ambao hujitokeza ebay ( mfano kwa ebay ; Bidhaa ya US $900 wanakuandikia US $60, ukilipia bidhaa inaondolewa na kuanza utaratibu wa refund )

Ila site zote ni salama iwapo unajua nini unachokifanya.
 
Amazon
- Ni bora zaidi.
- Hakuna ubabaishaji ambao hujitokeza ebay ( mfano kwa ebay ; Bidhaa ya US $900 wanakuandikia US $60, ukilipia bidhaa inaondolewa na kuanza utaratibu wa refund )

Ila site zote ni salama iwapo unajua nini unachokifanya.
Asante sana
 
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.













JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
hatakama ukiwa huna sanduku la posta unaweza agiza
 
Amazon
- Ni bora zaidi.
- Hakuna ubabaishaji ambao hujitokeza ebay ( mfano kwa ebay ; Bidhaa ya US $900 wanakuandikia US $60, ukilipia bidhaa inaondolewa na kuanza utaratibu wa refund )

Ila site zote ni salama iwapo unajua nini unachokifanya.
Ebay ni shida sana niliagiza hair clippers nikafanya malipo vizuri ikawa comfemed, baada ya siku 5 naambiwa supplier ac yake imeingiliwa so wanarefund waliniboa kweli.

Sina mpango wa kununua ebay bora nibaki na Aliexpress na Gearbest
 
Nahitaji kununa line of chords rule amazon lkn nme shindwa msaada please nme check ipo moja wanasema hawa ship to tanzania nafanyeje?
 
Back
Top Bottom