Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 363
- 645
Oya wana eeee. Nimeweza kuagiza mzigo kutoka China kwa kutumia Aliepress. Mzigo umefika km unavyoonrkana hapo
Umekuja kwa njia ya Posta?Oya wana eeee. Nimeweza kuagiza mzigo kutoka China kwa kutumia Aliepress. Mzigo umefika km unavyoonrkana hapoView attachment 1550620
Labda sababu ya Corona. Anga zilifunga.Aise me mwenyewe meagza may 19 adi leo mzigo upo kwenye ndege imegoma kutua
Hili ndio jibu, vitu vinakuwa katika idadi fulani ndio wanaita lot mojahivyo vitu 7 ndio pcs/lot?...
YeapUmekuja kwa njia ya Posta?
Mzigo wa namna hii unaupokea vipi pale posta?au ni njia gani inatumika kupokea mizigo mikubwa kutoka alia expressView attachment 1568720
Shukrani mkuuHakuna kitu huwezi pokea. Kinacho mata hapo ni shipping costs. Watu wana nunua hadi magari mzee sembuse kitanda. Cha msingi jipange na shipping costs
Hiyo ni nini mkuu, au ya kupimia Corona?Posta na Aliexpress mambo ni hiviiiiii
Mzigo mwingine huo umenifikia mkononiView attachment 1577198View attachment 1577200View attachment 1577202
Hiyo ni nini mkuu, au ya kupimia Corona?
Sent from my cupboard using mug
Mimi nilishawahi kutozwa kamzigo kadogo ila nadhani matozo hayo yalikuwa kwa ajili ya tracking number mpya waliyoweka hapa tz maana hako kamzigo ilionekana Kama kalitangatanga mpaka wakakawekewa tena namba nyingine huku TZ.NOmba kujua kama kuna mtu amesha wahi kulipia gharama zoZote ili kupokea mzigo wako posta. Mimi hupokea bure kabisa lakini kuna rafiki yangu yupo dodoma alienda kupokea mzigo pale wakamtoza tena hela.
Ya kupimia asali. Kiwango cha maji, joto na sukariHiyo ni nini mkuu, au ya kupimia Corona?
Sent from my cupboard using mug
Ndio waweza tumia kufanya manunuzi.wam mfano Vodacom na mitandao mingine wana mastercard,Je unaweza kununua kitu E-bay na kulipia bila shida?
Kuhusu kodiMabadiliko ya gharama mbalimbali za ununuzi ikiwemo kodi
Hili liko hapa: Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)Namna ya kufanya manunuzi hatua kwa hatua
Ndio, unapaswa kujiandaa kulipia kodi kwa bidhaa utakayoingiza nchini.Mfano nimeagiza simu, tv au redio au mzigo wowote kwa matumizi binafsi, kuna kodi yoyote nitakayotozwa na TRA mzigo ukishafika ili niweze kuupata??
Asante kwa majibu murua,ila gharama ya kodi kuzidi bidhaa hio ni balaa sana du! ngoja nipitieNdio waweza tumia kufanya manunuzi.
Kuhusu kodi
> Kukatwa kodi kwa mizigo
>Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase)
[ Hapa utaona jinsi uonevu uliopo kwenye maswala haya ya kutoa mzigo baada ya kufikisha nchini ]
Kwa sasa hali ndio imekuwa mbaya zaidi
Mfano hai
- Item ya US 19 nimeingiza nchini hivi karibuni.
- Upande wa clearnce na kuupata mzigo nimelimwa email hii hapa.
View attachment 1586937
- Gharama ya mzigo ni chini ya TZS 50,000
- Gharama za hapa nchini ni zaidi ya Laki moja, Pata picha.
Hili liko hapa: Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)
Ndio, unapaswa kujiandaa kulipia kodi kwa bidhaa utakayoingiza nchini.
Unaposema MTU ajiande kulipia kodi mzigo wake ukifika sija kupata freshNdio waweza tumia kufanya manunuzi.
Kuhusu kodi
> Kukatwa kodi kwa mizigo
>Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase)
[ Hapa utaona jinsi uonevu uliopo kwenye maswala haya ya kutoa mzigo baada ya kufikisha nchini ]
Kwa sasa hali ndio imekuwa mbaya zaidi
Mfano hai
- Item ya US 19 nimeingiza nchini hivi karibuni.
- Upande wa clearnce na kuupata mzigo nimelimwa email hii hapa.
View attachment 1586937
- Gharama ya mzigo ni chini ya TZS 50,000
- Gharama za hapa nchini ni zaidi ya Laki moja, Pata picha.
Hili liko hapa: Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)
Ndio, unapaswa kujiandaa kulipia kodi kwa bidhaa utakayoingiza nchini.