Papizo, kuna mdau hapo mwanza alisema ametumia sanduku la posta(S.L.P), je hii njia ni nzuri kwa kuagiza vitu?
Vipi kuhusiana na kodi, ni vitu vyote wanakata kodi?
Kwanza samahani sana kwa kuchelewa kukujibu mkuu wangu Mr. madevu
Kwa upande wa sanduku la postal pia ni njia nzuri ila kwa upande mwingine vile vile na wenyewe watu wa postal watatumia hiyo hiyo njia kukubamiza na kukuibia mali zako ambazo umeagiza,maana hapo umetumia sanduku la postal.
Kwa ujumla ni bora kutumia address ya mtu ambaye ni muaminifu hata ya kazini kwake sema problem iliyokuwepo ni kwamba seller wengi huwa hawakubali ku post item kwenye different address zaidi ya address ya paypal maana ile ndio address halali,so upande wa kutumia S.L.P
Kuhusiana na kodi hilo sidhani kama ni tatizo kubwa sana kwenye ule mzigo wako ukiandikwa kama gift haijalishi kuna nini ndani hupaswi kulipa kodi maana ni vitu vyako ambavyo utatumia personal na sio business sasa huwezi kuchajiwa kodi....
Kama una more question feel free kuuliza mkuu wangu...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kwanza samahani sana kwa kuchelewa kukujibu mkuu wangu Mr. madevu
Kwa upande wa sanduku la postal pia ni njia nzuri ila kwa upande mwingine vile vile na wenyewe watu wa postal watatumia hiyo hiyo njia kukubamiza na kukuibia mali zako ambazo umeagiza,maana hapo umetumia sanduku la postal.
Kwa ujumla ni bora kutumia address ya mtu ambaye ni muaminifu hata ya kazini kwake sema problem iliyokuwepo ni kwamba seller wengi huwa hawakubali ku post item kwenye different address zaidi ya address ya paypal maana ile ndio address halali,so upande wa kutumia S.L.P
Kuhusiana na kodi hilo sidhani kama ni tatizo kubwa sana kwenye ule mzigo wako ukiandikwa kama gift haijalishi kuna nini ndani hupaswi kulipa kodi maana ni vitu vyako ambavyo utatumia personal na sio business sasa huwezi kuchajiwa kodi....
Kama una more question feel free kuuliza mkuu wangu...
Nashukuru sana ndugu,Umenipata uelewa mpana sana juu ya ebay.
Ngoja nijaribu alafu nitaleta feedback ila nikikwama sehemu ntakutafuta ndugu.
Mungu akuongezee moyo wa kusaidia wengine daima.
mie natumia kadi ya shilingi
mie natumia kadi ya shilingi
naandaa makala kuhusu manunuzi mtandaoni nitaelezea
Kitu kama computer naweza tumia njia gan nzur ambayo itakuwa na usalama? and DHL alwatatoza how much kutoka USA let say TEXAS or MARYLAND
Mkuu tatizo langu ni for example kama atm card yako ni ya tshs and not $ will it work to buy from ebay. Au mpaka uwe na card which supports $??
Naomben mnfafanulie kuhusu kato la CRDB ekat unafanya online transuctions kam ifuatavyo;
1. Wanakata bei gan
2. Wanakata kwa mwez au kila ukfanya manunuzi?
3. Wanaanngalia na bidhaa ulonunua au tozo yao ipo constant without consider how much you draw to buy it.
4. Kama umeandika posta mfno ya chuo utaipataje aubuongoz ndo utakupa?
Kwanza samahani sana kwa kuchelewa kukujibu mkuu wangu Mr. madevu
Kwa upande wa sanduku la postal pia ni njia nzuri ila kwa upande mwingine vile vile na wenyewe watu wa postal watatumia hiyo hiyo njia kukubamiza na kukuibia mali zako ambazo umeagiza,maana hapo umetumia sanduku la postal.
Kwa ujumla ni bora kutumia address ya mtu ambaye ni muaminifu hata ya kazini kwake sema problem iliyokuwepo ni kwamba seller wengi huwa hawakubali ku post item kwenye different address zaidi ya address ya paypal maana ile ndio address halali,so upande wa kutumia S.L.P
Kuhusiana na kodi hilo sidhani kama ni tatizo kubwa sana kwenye ule mzigo wako ukiandikwa kama gift haijalishi kuna nini ndani hupaswi kulipa kodi maana ni vitu vyako ambavyo utatumia personal na sio business sasa huwezi kuchajiwa kodi....
Kama una more question feel free kuuliza mkuu wangu...
Nashukuru sana ndugu,Umenipata uelewa mpana sana juu ya ebay.
Ngoja nijaribu alafu nitaleta feedback ila nikikwama sehemu ntakutafuta ndugu.
Mungu akuongezee moyo wa kusaidia wengine daima.
Usijali mkuuu wangu tutazidi kushauriana kadri ya uwezo wetu wala hamna tatizo kabisaaaa,naamini kila kitu ni possible wewe jaribu na ukikwama mahali basi angusha swali lako hapa naamini tutakusaidia tu na ukiona nachelewa ku respond nishtue hata kwa PM maana mara nyingi nikitumia simu huwa hainionyeshi kama kuna mtu ameni Quote....ila tupo pamoja boss wangu....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Haya maelezo safi kwa wanaotaka kupata huduma za bidhaa kwa bei safi na kwa uhakika. Kudos Comrade1. nenda ebay.com kisha register chagua customer au kama wewe ni muuzaji chagua akaunti ya merchant.
2. kujiunga inabidi kadi yako ya benki (visa/mastercard) iwe imesajiliwa kwanza kununua mtandaoni, kisha nenda paypal.com weka details zako na za kadi yako kisha watakutumia verification code (yangu nilichukua crdb) hapo kadi yako itakuwa verified tayari na paypal.
3. nenda sehemu yoyote. wanayokubali paypal nunua chochote, ingiza. detail za paypal, watakata gharama za icho kitu basi umemaliza
very easy
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mru humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.
mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.
baada ya wiki 3 nimekipata kioo.
kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.