sparcus
Senior Member
- Feb 18, 2014
- 197
- 126
Josêph M Mike;10713841 said:Na nikisema:
(a) "I came but I did not found you"
Nikiwa namaanisha kuelezea mda ambao umepita yaan:
found = si-ku-ku-kuta.
(b) "I came and I did not found you"
Nikiwa na maana ya kuonyesha uwezekano wa kuwepo kiunganishi/bridge/conjunction katika sentenc hyo:
"...came-and-I did not... = nilikuja-na-sikukukuta".
Ni Mchango wangu Wakuu. Tuendeleeni.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sentensi ya kiingereza ikisha kuwa katika wakati uliopita na ika na kikanushi cha "not" verb inayofuata hatuiweka tena katika wakati uliopita kama hapo kwenye "found" itabidi iwe "find" kiongozi