Swahili Marketer
Member
- Aug 22, 2022
- 9
- 8
Habari wakuu,
Ninayo furaha kutangaza kurejea kwa series yetu pendwa ya mafunzo ya Digital marketing kwa lugha ya Kiswahili.
Nilikuwa active sana humu mwaka 2020 na mwaka jana mwanzoni...
Nikapotea kutokana na Majukumu ya kazi na projects nilizopata
Lakini nna furaha kuona watu walijifunza, na kuna baadhi nimefanya nao kazi since 2020 mpaka Leo
Plus wale ambao wamesoma thread ile ya kwanza ya Digital marketing,na kunitafuta mwaka huu
Nina habari njema kwa wote
Nimerudi kwa ajili ya kuendelea pale tulipoishia,
Karibu katika Season 2 ya Digital Marketing in Swahili
Nitakuwa hapa kushea nanyi maarifa,ujuzi na mbinu zinazotumika kufanya Matangazo ya biashara Mtandaoni
Ukweli usiopingika ni kwamba Biashara mpya zinafunguliwa kila siku,
Wafanyabiashara wanatafuta wateja,Kila mtu anataka kuuza..
Kama wewe ni Mfanyabiashara..
Niko hapa kwa ajili ya kushea na wewe yale Nnayofahamu katika Social media marketing, Sponsored Ads na Digital marketing kwa ujumla
Naamni ukijifunza mbinu za uhakika za kufanya Matangazo,utakuwa na uwezo mkubwa wa kujitofautisha sokoni,
Utafanya Matangazo ya uhakika, sio kubahatisha tena, na utaweza kuongeza mauzo yako kwa kuvutia wateja zaidi.
Karibun sana and stay tuned kwa Threads zinazokuja
PS: Kama una swali lolote au Changamoto kuhusu Sponsored Ads, uliza hapa nitakujibu
Ninayo furaha kutangaza kurejea kwa series yetu pendwa ya mafunzo ya Digital marketing kwa lugha ya Kiswahili.
Nilikuwa active sana humu mwaka 2020 na mwaka jana mwanzoni...
Nikapotea kutokana na Majukumu ya kazi na projects nilizopata
Lakini nna furaha kuona watu walijifunza, na kuna baadhi nimefanya nao kazi since 2020 mpaka Leo
Plus wale ambao wamesoma thread ile ya kwanza ya Digital marketing,na kunitafuta mwaka huu
Nina habari njema kwa wote
Nimerudi kwa ajili ya kuendelea pale tulipoishia,
Karibu katika Season 2 ya Digital Marketing in Swahili
Nitakuwa hapa kushea nanyi maarifa,ujuzi na mbinu zinazotumika kufanya Matangazo ya biashara Mtandaoni
Ukweli usiopingika ni kwamba Biashara mpya zinafunguliwa kila siku,
Wafanyabiashara wanatafuta wateja,Kila mtu anataka kuuza..
Kama wewe ni Mfanyabiashara..
Niko hapa kwa ajili ya kushea na wewe yale Nnayofahamu katika Social media marketing, Sponsored Ads na Digital marketing kwa ujumla
Naamni ukijifunza mbinu za uhakika za kufanya Matangazo,utakuwa na uwezo mkubwa wa kujitofautisha sokoni,
Utafanya Matangazo ya uhakika, sio kubahatisha tena, na utaweza kuongeza mauzo yako kwa kuvutia wateja zaidi.
Karibun sana and stay tuned kwa Threads zinazokuja
PS: Kama una swali lolote au Changamoto kuhusu Sponsored Ads, uliza hapa nitakujibu