The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,436
- 901
She is frustrated,,,
Hiyo ni dhihaka aliyofanyiwaShe is frustrated,,,
Kweli mkuu. Hata Mungu anajua kama Mashabiki wa Arsenal tunahitaji ubingwa sema tu muda wetu bado!Watu wameshavurugwa halafu we unakuja na kikoment chako kwani Mungu hajui kama Jide anataka mtoto
Wanajuana!Hilo jibu jamani Kwani amemwambia kwa ubaya
Mkuu,umenivunja mbavu sana!Dodoma, Chamwino zipo mbili, kule ikulu ambako ni kwa wagogo na Ile ya mjini ambayo wamejaa warangi, kama ni mrangi huyo atarudi, Ila ujiandae kukaaaa, kama ni mgogo huyo sahau kesha olewa teyari
Nasikia Jide aliwahi kuwa demu wa Papii kocha, amtafute apashe kiporo
Mkuu,punguza v2ko,Nasikia Jide aliwahi kuwa demu wa Papii kocha, amtafute apashe kiporo
Kunywa novida kwa hela yakoTATIZO WATANZANIA VIHEREHERE SANA.TUWE TUNAJARIBU KUTOFAUTISHA KATI YA SANAA NA MAISHA YA MSANII HUSIKA.
KAZI YA SHABIKI NI KUMPA SAPOTI MSANII NA SIO KULETA SHOBO KWENYE MAISHA YAKE
WordTATIZO WATANZANIA VIHEREHERE SANA.TUWE TUNAJARIBU KUTOFAUTISHA KATI YA SANAA NA MAISHA YA MSANII HUSIKA.
KAZI YA SHABIKI NI KUMPA SAPOTI MSANII NA SIO KULETA SHOBO KWENYE MAISHA YAKE
Uko sahihi, hebu chukua K-vant ndogo mrembo.Kiukweli mimi Jide nimemuelewa. Unajua unaweza kuwa na shida ikafika mahali mtu unaikubali hali yako unaona uko sawa tu then mtu from nowhere anakuja kukukumbusha kwamba kuna kitu kwako hakiko sawa tena mahali ambapo hapahusiani kabisa lazima povu likutoke
Nitigopesa kabisaUko sahihi, hebu chukua K-vant ndogo mrembo.
Ni pm namba yako mrembo. 'Your wish is my command' hapa najaribu lugha ya kwa ras simba.Nitigopesa kabisa
Hahaha mimi huko mgeni au ndo staili ya kuninyima?Ni pm namba yako mrembo. 'Your wish is my command' hapa najaribu lugha ya kwa ras simba.