engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Wadau jana JICHO PEVU waliweka ule uchunguzi wa madawa ya kulevya yaliyotingisha kenya,lakini wakati habari inatangazwa stima ilizimwa jijini na hata baada ya kuweka video ktk mtandao wa youtube nayo imehujumiwa
kama kuna mtu ana video yake [h=1]Jicho Pevu: Parawanja la Mihadarati Part 3[/h]basi tunaomba mtuwekee ili nasi tufaidi uhondo huo
kama kuna mtu ana video yake [h=1]Jicho Pevu: Parawanja la Mihadarati Part 3[/h]basi tunaomba mtuwekee ili nasi tufaidi uhondo huo
Last edited by a moderator: