mkuu akili ni nywele, inawezekana amepata siri ya urembo...lete picha basi
"Kichwa ni kwa ajili ya kufikiri na sio kufuga nywele".............Jaji WEREMA
mkuu akili ni nywele, inawezekana amepata siri ya urembo...lete picha basi
Kama hapa hujakula ban nitajua JF kuna upendeleoNataka nimtongoze!
Wadau nimevutiwa na madam Spika leo kapendeza alivyosuka nywele,Pengine atapunguza hata unoko hadi nywele zifumuke.Congrats madam you look good.
Dah!
Kweli watu tumetofautiana kuangalia mambo!!
Yaani katika bunge la leo mtoa mada kaona issue kubwa ni msuko wa speaker??
Wonders shall never end!!
Huna Lolote hata asuke vipi na kujiremba vipi hawazi kuonekana, tatizo lake ni sura mbaya kam moyo wake?
muulize waume wake wako wapi hii leo? ndio utajua Roho yake ilivyo...
Mtoa mada utakuwa na ugovi na mkeo/mmeo so kila mtu unamuona sex!
Wadau nimevutiwa na madam Spika leo kapendeza alivyosuka nywele,Pengine atapunguza hata unoko hadi nywele zifumuke.Congrats madam you look good.
pelekeni kule basi kwani nayo hii ni ya kisiasa?
nahisi nimekosea jukwaa,kwani hili siyo la kisiasa
this is chit chat jamani!siasa zenu na usiriaz wenu pelekeni siasaniDah!
Kweli watu tumetofautiana kuangalia mambo!!
Yaani katika bunge la leo mtoa mada kaona issue kubwa ni msuko wa speaker??
Wonders shall never end!!
nivea hili jukwaa kama linakukera usiwe unalifungua unless unatukwaza mkuu!kama jukwaa hili linawachefua na msiwe mnapita !huwa mnafuata nini kila siku huku mnaliponda!hebu tupisheni tujiongezee siku za kuishi siye !nendeni kwenye siasa zenu huko mkajistress na matatizo ya jakamoyo!peleka kwenye celebrities haituhusu sisi
Mtu mzima Ovyo