Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Habari wakuu,
Kwa mtazamo wangu,bwana yule katengua nafasi ya kijana yule akisukumwa na mambo mawili ambayo ni kwanza katika kutekeleza mpango wa kuwaondoa wanaoonekana ni wasaliti ambao kwa sasa ni kama misfit ndani ya nyumba yao na sababu ya pili na ambayo imeharakisha utekelezaji wa maamuzi haya ni kutumia tukio hili la utenguzi kwa lengo la kuhamisha attention ya watu(mjadala) kuhusu yale makubaliano ya kimangungu kati ya sisi na wale wanaume(wazungu).
Kwahiyo, bwana yule amejaribu kuua ndege wawili kwa jiwe moja ila ajue tu yale makubaliano ya kimangungu hayawezi kupita hivi hivi na mjadala wake utaendelea tu na huu wa utenguzi baada ya siku mbili zijazo utakuwa umepoa kama sio kwisha kabisa.
Kwa kifupi, Mzee huyu kakosa maarifa na hajui ashike lipi na aache lipi!!
Kwa mtazamo wangu,bwana yule katengua nafasi ya kijana yule akisukumwa na mambo mawili ambayo ni kwanza katika kutekeleza mpango wa kuwaondoa wanaoonekana ni wasaliti ambao kwa sasa ni kama misfit ndani ya nyumba yao na sababu ya pili na ambayo imeharakisha utekelezaji wa maamuzi haya ni kutumia tukio hili la utenguzi kwa lengo la kuhamisha attention ya watu(mjadala) kuhusu yale makubaliano ya kimangungu kati ya sisi na wale wanaume(wazungu).
Kwahiyo, bwana yule amejaribu kuua ndege wawili kwa jiwe moja ila ajue tu yale makubaliano ya kimangungu hayawezi kupita hivi hivi na mjadala wake utaendelea tu na huu wa utenguzi baada ya siku mbili zijazo utakuwa umepoa kama sio kwisha kabisa.
Kwa kifupi, Mzee huyu kakosa maarifa na hajui ashike lipi na aache lipi!!