Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,490
- 215,330
Hii ni kwa sababu CAF yenyewe haijajipanga kabisa kuhusu Ugonjwa wa Corona.
Ikumbukwe kwamba kila nchi ina sera yake kuhusu namna ya kujilinda na Corona, wengine wanapiga nyungu za malimao na Tangawizi na wengine wanafuata muongozo wa WHO.
Baadhi ya nchi haziruhusu kabisa wageni, huku nyingine zikiwaruhusu na kuwaweka karantini, lakini ziko nchi nyingine kama Tanzania ambazo kwao wageni wanaingia bila masharti yoyote.
Kitendo cha baadhi ya Timu kuzuiliwa kuingia nchi zingine kunafanya ugumu wa mashindano haya kuendelea kufanyika, kwa mfano Kaizer Chiefs ya South Afrika imenyimwa ruhusa ya kuingia nchini Morroco kupambana na Waydad Cassablanca. Hii ni kwa sababu sera ya nchi yao hairuhusu wageni kuingia nchini humo kibwege na makorona yao.
Ikumbukwe kwamba kila nchi ina sera yake kuhusu namna ya kujilinda na Corona, wengine wanapiga nyungu za malimao na Tangawizi na wengine wanafuata muongozo wa WHO.
Baadhi ya nchi haziruhusu kabisa wageni, huku nyingine zikiwaruhusu na kuwaweka karantini, lakini ziko nchi nyingine kama Tanzania ambazo kwao wageni wanaingia bila masharti yoyote.
Kitendo cha baadhi ya Timu kuzuiliwa kuingia nchi zingine kunafanya ugumu wa mashindano haya kuendelea kufanyika, kwa mfano Kaizer Chiefs ya South Afrika imenyimwa ruhusa ya kuingia nchini Morroco kupambana na Waydad Cassablanca. Hii ni kwa sababu sera ya nchi yao hairuhusu wageni kuingia nchini humo kibwege na makorona yao.