Jicho la tatu machozi ya Sabaya kwenye msiba wa Hayati Magufuli

malang0

JF-Expert Member
Apr 7, 2021
440
518
Ukitumia jicho la tatu kwenye machozi mazito aliyotoa aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya kwenye msiba wa kitaifa wa JPM utaelewa yule bwana pale dhamiri yake ilikuwa inaongea waziwazi si msiba tu ulikuwa unamliza ila kuna msiba mkubwa zaidi ya huo haswa juu ya hatma ya maisha yake.

Mojawapo wa manga'muzi ni alitoa ujumbe ukionyesha kwamba, 'God father " niliyemtegemea kuliko Mungu wa mbinguni hayupo na sasa maovu yangu na siri zangu zinakwenda kufichika kwa kuwa mshirika wangu hayupo tena.

Pili, utajiri niliyoukusanya kwa njia haramu sasa mwishowake umefika sitapata hela kwa njia za utapeli na uporaji,maovu,ubaya dhuluma nilizowatendea watu huwenda zikanirudi hivyo nitumie fedha haramu nilizopata nijisafishe kupitia vyombo vya habari na nikimsifu Rais maisha yataendelea kama zamani
 
Kweli mkuu

FB_IMG_1622751161942.jpg
 
Kwa kifupi kitamaduni ukilia chozi jicho moja ni uchuro,unafiki ,nuksi na kuombea uovu ,nakumbuka zamahizo ukipichapwa ukilia chozi jicho moja ,unachapwa tena mpaka utoe machozi macho yote au vinginevyo ufute na uache kulia na haswa jicho la kushoto
 
Alikuwa akimlilia ' Mratibu ' Mkuu wake wa ' Ukatili ' alioufanya huko Hai akiwa DC na sasa aliyemtuma ' Kapumzika ' zake Udongoni Chato huku Yeye ' Mtendaji ' akianza ' Kunyooshwa ' Kisheria na kuanza ' Kugombaniwa ' na ' Mabasha ' waliotukuka huko Mahabusu aliko sasa.
 
Alikuwa akimlilia ' Mratibu ' Mkuu wake wa ' Ukatili ' alioufanya huko Hai akiwa DC na sasa aliyemtuma ' Kapumzika ' zake Udongoni Chato huku Yeye ' Mtendaji ' akianza ' Kunyooshwa ' Kisheria na kuanza ' Kugombaniwa ' na ' Mabasha ' waliotukuka huko Mahabusu aliko sasa.
Nna wasiwasi kama leo ameamka na marinda yake.

Inatakiwa sasahivi aanze kufagia ule mtaro wa makohozi
 
ujumbe ukionyesha kwamba, 'God father " niliyemtegemea kuliko Mungu wa mbinguni hayupo na sasa maovu yangu na siri zangu zinakwenda kufichika kwa kuwa mshirika wangu hayupo tena.

Pili, utajiri niliyoukusanya kwa njia haramu sasa mwishowake umefika sitapata hela kwa njia za utapeli na uporaji,maovu,ubaya dhuluma nilizowatendea watu huwenda zikanirudi hivyo nitumie fedha haramu nilizopata nijisafishe kupitia vyombo vya habari na nikimsifu Rais maisha yataendelea kama zamani
 
Alijua Mwamba Wake Amelala Lazima Ile Surat~Alkaba
Nitawatieni Kwenye Msukosuko Ndiyo Yametimia
 
Alikuwa akimlilia ' Mratibu ' Mkuu wake wa ' Ukatili ' alioufanya huko Hai akiwa DC na sasa aliyemtuma ' Kapumzika ' zake Udongoni Chato huku Yeye ' Mtendaji ' akianza ' Kunyooshwa ' Kisheria na kuanza ' Kugombaniwa ' na ' Mabasha ' waliotukuka huko Mahabusu aliko sasa.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nasema hivi tena narudia "asante deportivo la coruna kwa mchango wako wa hali na mali"

Isingekuwa nchi ya Hispania kuwa na klabu ya derpotivo la coruna leo hii wa Tanzania bado tungekuwa tunalia na kusaga meno

Tunaomba hiyo klabu ikacheze na bungeni ili tuwe huru kamili.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom