sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Kwanza naomba nitoe pole kwa wahanga wote wa milipuko ya mabomu huko Gomz,
Natumaini kwamba hakuna jipya ambalo tunaeza sema ati Hatujui wala kujiandaa kwa hilo kwani ilipotokea mbagala walitoa ahadi nyingi sana, Na kusema wazi kwamba haitoweza kurudia tena hali kama hiyo (Mbagala),
Na kwa kua imetokea tena Naomba tujue kwamba hawa jamaa ni wazembe na sidhan kama wanaweza kutupiga tena somo. Huu ni uzembe dhahiri ila najua watatupa pipi tena.
leo hii tanzania tunashuhudia ndugu zetu wakiuawa hivihivi, ila kwa kuwa amani ni jadi yetu tunakaa kimya kama kondoo, hatuna shida si tunaendelea ktk shida zetu tangu hapo kale?,
Hivi ndivo ninavofikiria:
Kwa kua magala ya silaha yapo maeneo kadhaa ya Tanzania almost kila Mkoa na wilaya na kwa hapo dar ndo usiseme, mi naon a ni jambo la busara tu serikali ichukue hatua za kusudi kwa lengo la Kuangamiza hizo silaha, ninauhakika kama hayo mabomu sio ya kichina basi yatakua yamenununliwa enzi za mwalimu na hivo kuna uwezekano mkubwa sana Milipuko ikaendelea ktk sehemu mbali mbali za nchi kama hatua maalum zisipochukuliwa.
Naomba Kuwasilisha
Natumaini kwamba hakuna jipya ambalo tunaeza sema ati Hatujui wala kujiandaa kwa hilo kwani ilipotokea mbagala walitoa ahadi nyingi sana, Na kusema wazi kwamba haitoweza kurudia tena hali kama hiyo (Mbagala),
Na kwa kua imetokea tena Naomba tujue kwamba hawa jamaa ni wazembe na sidhan kama wanaweza kutupiga tena somo. Huu ni uzembe dhahiri ila najua watatupa pipi tena.
leo hii tanzania tunashuhudia ndugu zetu wakiuawa hivihivi, ila kwa kuwa amani ni jadi yetu tunakaa kimya kama kondoo, hatuna shida si tunaendelea ktk shida zetu tangu hapo kale?,
Hivi ndivo ninavofikiria:
Kwa kua magala ya silaha yapo maeneo kadhaa ya Tanzania almost kila Mkoa na wilaya na kwa hapo dar ndo usiseme, mi naon a ni jambo la busara tu serikali ichukue hatua za kusudi kwa lengo la Kuangamiza hizo silaha, ninauhakika kama hayo mabomu sio ya kichina basi yatakua yamenununliwa enzi za mwalimu na hivo kuna uwezekano mkubwa sana Milipuko ikaendelea ktk sehemu mbali mbali za nchi kama hatua maalum zisipochukuliwa.
Naomba Kuwasilisha