Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,211
Hizo ni sawa na zile Imani kua ukikuta watu wamekaa na wewe ukawa umesimama eti unawanyonya damu - Fanyeni mazoezi hamtaki!likicheza upande wa kulia juu, kuna jambo utalisikia jambo zuri au utaliona au utapata kitu kizuri.
pia kuna mkono kuwasha. Ukiwasha wa kulia ujue utatoa hela, patakutoka hela bila ya kupenda...ukiwasha wa kushoto basi fahamu siku hiyo lazima upige mihela. Fanya upelelezi uone
asante chief72 kwa ufafanuzi.kama ni mazoezi nipo fit hata marathon za Kilimanjaro sikosaji 21km kila mwaka.
Je Ma.sa.buri yakiwasha kutatokea nini?likicheza upande wa kulia juu, kuna jambo utalisikia jambo zuri au utaliona au utapata kitu kizuri.......
pia kuna mkono kuwasha....ukiwasha wa kulia ujue utatoa hela, patakutoka hela bila ya kupenda...ukiwasha wa kushoto basi fahamu siku hiyo lazima upige mihela....fanya upelelezi uone
Je Ma.sa.buri yakiwasha kutatokea nini?
Mara nyingi jicho langu likicheza huwa nakuwa na malaria na nikipata matibabu linaacha au wakati mwingine napiga pesa ndeefu jicho la juu likicheza na kuota naogelea kwenye dimbwi la kinyesi.
Je Ma.sa.buri yakiwasha kutatokea nini?
uta nunuliwa vocha ya 0713.