Jichanganye uweke kidole hapo utatamani ukapige ngumi ila ndio huwezi yaani

Mr pianoman

JF-Expert Member
May 22, 2019
2,545
6,086
Wangapi mmesha pitia kwenye hii tabu utatamani ukapige ngumi au kofi ila ndio huweza tena itabidi uvumilie tu mpaka kamalize kenyewe yaani

FB_IMG_1613996136573.jpg
 
Uuwiiii!! Umefanya nihisi maumivu Mkuu.

Hivyo hivyo yaani. 😂😂 na hapo Mtoto hana hata habari na bila kumstua anaeza acha kidonda 😂😂
Poleni na hongereni mama zetu.


Mtani siku hizi sikuoni kabisa kidimbwini au umehamia kwa next level umeachana na wale wa kilo 800!
 
Poleni na hongereni mama zetu.


Mtani siku hizi sikuoni kabisa kidimbwini au umehamia kwa next level umeachana na wale wa kilo 800!
Ahsante Mtani.

Naanzaje kuhama jamani. Lol. Kuanzia jumamosi utaniona tena kwani tushamaliza maombolezo. Teh
 
Ahsante Mtani.

Naanzaje kuhama jamani. Lol. Kuanzia jumamosi utaniona tena kwani tushamaliza maombolezo. Teh
Vibao mnavyotupiga tukiwa watoto viwe vya kutustua tu, kuna mama namuona anampa kitoto chake kibao cha kelbu utadhani aliiba huyo mtoto labor.

Naamini kikofi chako cha uamsho wa mahaba kwa mwanao ndio maana huwa anacheka baada ya Kofi mpalazo.

Jumamosi KMC watakufanya uthibitishe ile barua ya maandamano mliiandika nyie au laah!
 
Vibao mnavyotupiga tukiwa watoto viwe vya kutustua tu, kuna mama namuona anampa kitoto chake kibao cha kelbu utadhani aliiba huyo mtoto labor.

Naamini kikofi chako cha uamsho wa mahaba kwa mwanao ndio maana huwa anacheka baada ya Kofi mpalazo.

Jumamosi KMC watakufanya uthibitishe ile barua ya maandamano mliiandika nyie au laah!
Mtani unadhania unampa kibao kikubwa basi yaani unachukua mkono wake unampiga kakibao cha kumstua kidogo na ndio sababu wengi baada ya hapo huwa wanacheka.

Hahahahaaa. Tunajua watakaza ila mwishowe wataachia tu.
 
Mtani unadhania unampa kibao kikubwa basi yaani unachukua mkono wake unampiga kakibao cha kumstua kidogo na ndio sababu wengi baada ya hapo huwa wanacheka.

Hahahahaaa. Tunajua watakaza ila mwishowe wataachia tu.
Ujue Kmc hana dogo mtani
Hii picha ngoja niifanye iwe avatar yangu
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom