GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,873
Ni kwamba tayari kuna Mstaafu Mmoja aliye karibu na Mteuzi Mkuu Kikatiba nchini Tanzania ameshampigia pande ili nae apewe Cheo kama cha Mwenzake Jerry Muro.
Baada ya Yeye ( Haji Manara ) kuona kuwa tayari Mambo yanaenda vyema kwa kuwa na dalili za Kuukwaa Uteuzi anachokifanya sasa ni Kujipendekeza kwa Mteuzi Mkuu ili awe anamsikia na amteue.
Ukaribu wa Baba yake na huyo Mstaafu Mmoja Mkuu Tanzania ndiyo Chachu ya Haji Manara kutafutiwa Cheo ama Serikalini au Chamani ( CCM ) ambacho alikitamani pia wakati wa Hayati Rais Dkt. Magufuli akipate ila kutokana na Unafiki, Upumbavu na Uwizi wake wa Rasilimali za CCM hakukumbukwa na Kutoswa.
Tegemeeni kusikia akiteuliwa katika Wadhifa wowote kwani Mteuzi Mkuu wa Tanzania pamoja na Nguvu zote alizonazo ila kwa Mstaafu huyo hapindui na ndiyo anamsikiliza na Kumuamini kwa kila Kitu kiasi kwamba leo hii hadi Kampuni ya Kisamjosamjo ( Kiujanjaujanja ) ya GSM ( zamani Home Shopping Center ) imerudi na inatamba inavyotaka na haigusiki tena mpaka inaogopwa.
Baada ya Yeye ( Haji Manara ) kuona kuwa tayari Mambo yanaenda vyema kwa kuwa na dalili za Kuukwaa Uteuzi anachokifanya sasa ni Kujipendekeza kwa Mteuzi Mkuu ili awe anamsikia na amteue.
Ukaribu wa Baba yake na huyo Mstaafu Mmoja Mkuu Tanzania ndiyo Chachu ya Haji Manara kutafutiwa Cheo ama Serikalini au Chamani ( CCM ) ambacho alikitamani pia wakati wa Hayati Rais Dkt. Magufuli akipate ila kutokana na Unafiki, Upumbavu na Uwizi wake wa Rasilimali za CCM hakukumbukwa na Kutoswa.
Tegemeeni kusikia akiteuliwa katika Wadhifa wowote kwani Mteuzi Mkuu wa Tanzania pamoja na Nguvu zote alizonazo ila kwa Mstaafu huyo hapindui na ndiyo anamsikiliza na Kumuamini kwa kila Kitu kiasi kwamba leo hii hadi Kampuni ya Kisamjosamjo ( Kiujanjaujanja ) ya GSM ( zamani Home Shopping Center ) imerudi na inatamba inavyotaka na haigusiki tena mpaka inaogopwa.