Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 962
- 243
Nilijaribu kumtweet mhe Jk Katika account ya TWITTER km mara tatu juu ya tatizo hili la MIKOPO hatimae kanijibu leo sasa hv anasema "Bod ya mikopo inalìfanyia kaz swala hil na anaamin ufumbuz utapatìkana haraka iwezekanavyo".nawasilisha
NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.
Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.
NB;
Natumia mobile cwez weka hiyo post, kwa anayeweza anisaidie aingie TWITTER ,acheck account yake ni jmkikwete, ataona kareply kwenda jina la Eshacky.
Wahanga wenzangu tuombe mungu hili asemalo liwe ni kweli.