IoT
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 1,057
- 1,400
Mitandao ya kijamii imekuwa ni sehemu ya kufahamiana na watu, kubadilishana mawazo, kupashana habari, kuuza bidhaa nk.
Linapokuja suala la mwanaume kuomba kuonana na mwanadada, kumekuwa na hii sijui nini maana'ke. Unaomba kuonana na mwanadada, mdada anauliza "kunionaje". Swali langu ni hili, wadada humaniisha nini kwa swali hili la "kunionaje"?
Linapokuja suala la mwanaume kuomba kuonana na mwanadada, kumekuwa na hii sijui nini maana'ke. Unaomba kuonana na mwanadada, mdada anauliza "kunionaje". Swali langu ni hili, wadada humaniisha nini kwa swali hili la "kunionaje"?